Category: Michezo
Balozi Asha-Rose Migiro atembelea kambi ya timu ya Tanzania
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha-Rose Migiro ametembelea kambi ya wanamichezo wa Tanzania wataoshiriki kwenye Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola iliyopangwa kuanza Julai 28, 2022, na kuwatakia kila la heri kwenye michuano hiyo inayoshirikisha jumla ya nchi…
Manara afungiwa kujihusisha na soka
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania leo Julai 21, 2022 imemfungia msemaji wa Yanga SC, Haji S.Manara kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi kwa muda miaka miwili pamoja na kulipa faini ya sh.milioni 20….
Yanga, Simba, Azam usajili wa bilioni utavuna nini CAF?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Usajili wa Yanga, Simba na Azam msimu huu hakuna shaka klabu hizo kwa pamoja zimekwisha kutumia zaidi ya Sh bilioni moja katika kuwanasa nyota hao. Ni jambo zuri kuona klabu zetu zimeamua kuvunja benki…
Mpole kuwa mpole kidogo kwa Simba
Dar es Salaam Na Andrew Peter Kama kuna jina lililopunguza furaha ya Wanayanga katika siku ya mwisho wa msimu huu, ni George Mpole. Mpole, mshambuliaji wa Geita Gold. Aliwakatili mashabiki wa Yanga waliokuwa na imani ya kuona nyota wao Fiston…
Pazia la Ligi Kuu kufungwa kesho
Dar es Salaam Na Andrew Peter Baada ya hekaheka za muda mrefu hatimaye pazia la Ligi Kuu ya Tanzania Bara litafungwa rasmi Jumatano hii lakini macho yatakuwa kwa timu nne za mwisho zinazowania kubaki katika ligi hiyo. Wageni Mbeya Kwanza…