Category: Michezo
Yanga bingwa, lakini…
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Mabingwa mara 28 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, sasa wanahitaji kushinda mechi nne ili kumaliza msimu na rekodi ya kutokufungwa. Yanga ilitangaza ubingwa wa ligi wiki iliyopita baada ya kuifunga Coastal Union mabao…
Kumekucha uchaguzi wa Yanga
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Harakati za uchaguzi wa Klabu ya Yanga zimeanza kwa kishindo na tayari majina kadhaa makubwa yamejitosa kutaka kumrithi Mwenyekiti, Dk. Mshindo Msolla. Hakuna ubishi uchaguzi wa mwaka huu utakuwa na utamu wa aina yake…
Bingwa Sh milioni 600, wachezaji maisha duni
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Baada ya kuishuhudia Taifa Stars ikipokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Algeria katika mchezo wa Kundi ‘F’ kusaka kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2023, Ivory Coast, macho na masikio…
Taifa Stars kujiuliza kwa Algeria
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, itakuwa na kibarua kizito mbele ya Algeria katika mchezo wake wa pili wa Kundi ‘F’ wa kusaka kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika 2023, Ivory Coast….
Nini anatakiwa kukifanya ‘Mo’?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Bilionea na Mwenyekiti wa zamani wa Bodi ya Wakurungezi wa Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji, ameandika katika ukurasa wake wa ‘twiter’: “Tunasafisha kila sehemu ambayo inahitaji kuwekwa sawa ili turudi kwenye ubora wetu #nguvu moja.”…
SAMATTA, MSUVA: Kwa suala la Stars, Niger wajipange
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Pamoja na ukame wa mabao na kusota benchi katika klabu zao washambuliaji Mbwana Samatta na Simon Msuva bado wanabeba matumaini ya Taifa Stars dhidi ya Niger katika kusaka kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya…