JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Italia na Cattenacio yao, Ureno na Ronaldo wao

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Michezo ya mzunguko wa pili michuano ya mataifa Ulaya maarufu kama EURO 2020, imeanza wiki iliyopita. Kila taifa limeshacheza mchezo mmoja, huku baadhi ya mataifa yakicheza michezo miwili. Michuano hiyo ya mwezi mmoja iliyopaswa…

 Kante kioo cha Mzamiru 

Na Mwandishi Wetu  Umewahi kutulia na kumtazama kwa jicho la tatu kiungo wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam na timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Mzamiru Yassin?  Kwa upande mwingine, unamfuatilia kwa umakini kiungo wa Klabu ya…

Nani ‘anaua’ vipaji Yanga?

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu  Ni matamanio ya kila shabiki wa soka kuiona klabu anayoishabikia ikipiga hatua na kufikia mafanikio, ikiwa ni pamoja na kuchukua mataji. Naam! Ni kama vile kuwafikisha wana wa Israel katika nchi ya ahadi na…

Nyota Liverpool awa Balozi Tanzania

ARUSHA Na Mwandishi Wetu Beki wa kimataifa wa Ufaransa na nyota wa zamani wa miamba wa soko wa Ligi Kuu ya England (EPL), Liverpool, MamadouSakho, ameombwa na kukubali kuwa Balozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania.Beki huyo wa kati mwenye…

Kwa Mkapa hatoki mtu

*Kaulimbiu ya Simba iliyowafikisha Robo Fainali DAR ES SALAAM Na Dk. Ahmad Sovu  Kaulimbiu ni misemo rahisi inayotumiwa zaidi na wanasiasa au asasi fulani kwa lengo la kujenga hamasa yenye madhumuni ya kufikia malengo fulani. Makala hii madhumuni yake makuu…

Mwisho wa Djodi na Azam FC hautishi sana

Nilisoma mahali Azam FC walivyoachana na fundi wao wa mpira raia wa Ivory Coast, Richard Djodi. Richard ni fundi kweli kweli, mpira ukiwa mguuni mwake hautamani autoe haraka. Lakini namba zimemhukumu. Azam FC wamemuonyesha mlango ulioandikwa Exit. Soka la kileo…