JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Maoni ya Mhariri

Serikali ibadili mbinu ukusanyaji kodi

Kwa muda wa mwezi mmoja tumechapisha habari zinazohusiana na ukusanyaji wa kodi. Tunatambua na tunapenda kupongeza juhudi zilizofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), iliyotekeleza kwa ufasaha maelekezo ya Rais John Pombe Magufuli ya…

Kodi vifaa vya gesi zifutwe, tuokoe misitu

Mungu alitupendelea Watanzania. Akatupatia ardhi na misitu mingi, mizuri na yenye tija kubwa kwa binadamu na viumbe hai wengine. Uzuri wa Tanzania sasa unaharibiwa na Watanzania wenyewe kwa uamuzi haramu wa kuteketeza misitu ya asili. Takwimu zinaonyesha kuwa hekta 400,000…

Mgogoro wa Z’bar umechusha

Mgogoro wa kisiasa katika Visiwa vya Zanzibar umekuwa na athari kubwa kwa Wazanzibari na Watanzania kwa jumla. Ingawa hatuungi mkono misaada ya masharti, lakini kitendo cha Marekani kuinyima Tanzania msaada kwa sababu ya mgogoro huo, kinapaswa kutuamsha. Tuamke kwa kuhakikisha…

Tanzania isinyamaze mauaji ya Burundi

Taifa jirani la Burundi lipo katika msukosuko mkubwa na wachambuzi wa masuala ya migogoro ya kisiasa wanasema kuna kila dalili kuwa taifa hili sasa litatumbukia katika mauaji ya kimbari. Burundi imeingia katika mgogoro baada ya Rais aliyeko madarakani Pierre Nkurunziza…

Wateule: uwaziri si ulaji, ni kazi tu

Ukurasa wa 12 wa gazeti hili tumechapisha majina ya mawaziri wapya pamoja na wizara watakazoongoza. Pia wamo naibu mawaziri katika wizara kadhaa. Mawazari na naibu mawaziri hao walitangazwa Alhamisi iliyopita. Siku hiyo walitangazwa jumla ya 30 huku wengine Rais Dk….

Miaka 4 ya JAMHURI, asanteni sana Watanzania

Desemba 6, 2015 Gazeti la JAMHURI lilitimiza miaka minne tangu lilipoanzishwa tarehe kama hiyo mwaka 2011. Wahenga walisema penye nia pana njia, na mgaa gaa na upwa hali wali mkavu! Kudumu kwenye soko lenye ushindani mkubwa wa vyombo vya habari…