Category: Maoni ya Mhariri
Biashara ya dawa za kulevya ikomeshwe kwa vitendo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema Serikali inafanya uchunguzi ili kujiridhisha kama watu 19 waliokamatwa nchini China na dawa za kulevya ni Watanzania.
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
- Pwani kutumia bil.497/-kwa mwaka wa fedha 2026/27 kuboresha huduma na miradi ya maendeleo
- EWURA Kanda ya Kaskazini yawanoa viongozi Wilaya ya Korogwe
- Kwanini Serikali inashirikiana na sekta binafsi
- Mikakati endelevu suluhisho kukabiliana na majanga ya dharura kiafya
- Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutekeleza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Habari mpya
- Pwani kutumia bil.497/-kwa mwaka wa fedha 2026/27 kuboresha huduma na miradi ya maendeleo
- EWURA Kanda ya Kaskazini yawanoa viongozi Wilaya ya Korogwe
- Kwanini Serikali inashirikiana na sekta binafsi
- Mikakati endelevu suluhisho kukabiliana na majanga ya dharura kiafya
- Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutekeleza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
- FCC, TCRA kufanya uchunguzi wa bando
- Waajiri wafurahishwa kuanzishwa mfumo wa Taifa wa kielektroniki wa soko la ajira
- Prof. Shemdoe aipongeza Manispaa ya Temeke kwa mpango mkakati wa miaka
- Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Magogoni
- China yajitolea kupatanisha Mashariki ya Kati
- ECOWAS yaunda kikosi kupambana na ugaidi
- Prof. Shemdoe kuzifanyia kazi changamoto za wafanyabiashara soko la Mabibo
- JKCI yawafikia waumini KKKT Mbezi Beach kwa huduma za kibingwa
- Serikali kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kupata makazi bora
- Serikali yaendelea kujidhatiti udhibiti magonjwa adimu