Category: Maoni ya Mhariri
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
Polisi iwadhibiti panya road
Wiki iliyopita kundi la vijana zaidi ya 20 linalojiita panya road, mbwa mwitu na mtoto wa mbwa, liliibuka upya na kuvamia, kupora mali na kushambulia watu kwa kutumia silaha za jadi zikiwamo panga jijini Dar es Salaam.
- Waziri Mkuu atembelea mgodi wa Elianje Genesisi uliopo Namungo, Ruangwa na kuzungumza na wananchi
- Zitto achukua fomu kugombea Jimbo la Kigoma Mjini
- Dk Mpango akemea vikali tukio la kushambuliwa kwa katibu Mkuu TEC Padri Kitima
- REB yaridhishwa matumizi ya nishati safi Gereza la Butimba
- Jumla ya watahiniwa 134,390 kufanya mtihani wa kidato cha Sita kesho
Habari mpya
- Waziri Mkuu atembelea mgodi wa Elianje Genesisi uliopo Namungo, Ruangwa na kuzungumza na wananchi
- Zitto achukua fomu kugombea Jimbo la Kigoma Mjini
- Dk Mpango akemea vikali tukio la kushambuliwa kwa katibu Mkuu TEC Padri Kitima
- REB yaridhishwa matumizi ya nishati safi Gereza la Butimba
- Jumla ya watahiniwa 134,390 kufanya mtihani wa kidato cha Sita kesho
- Watu 11 wauawa wakiwemo 8 wa familia moja Ukanda wa Gaza
- Usalama nchini Sudan Kusini wazidi kuzorota
- Rais Samia amedhamiria kuleta Serikali kwa wananchi ili kuleta maendeleo -Mchengerwa
- THRDC yatoa Jacketi za usalama kwa JOWUTA
- Dk Biteko aipongeza ETDCO kwa kutekeleza mradi wa kusafirisha umeme Tabora Urambo
- BoT yatoa katazo la matumizi ya fedha za kigeni kufanya malipo
- Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya madini bilioni 224.98 kwa mwaka 2025/2026
- Serikali yavuna bilioni 726, 219 sekta ya madini
- NIDA yamnasa mtengeneza vitambulisho feki
- TLS yalaani vitendo vya ukiukwaji wa haki