Category: Afya
Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuboresha upatikanaji dawa
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuboresha hali ya upatikanaji wa dawa nchini na kuhakikisha bidhaa muhimu zinapatikana kwa urahisi katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini. Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti…
Japan yaonesha nia ya kukisaidia chuo kikuu Dodoma
KAMPUNI ya Japan ya Association of African Economic Development (AFRECO) imeonesha nia ya kujenga chuo cha uhandisi wa tiba (school of medical engineering) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kupunguza tatizo la wataalamu wa tiba na vifaatiba…
Moi yasogeza huduma za kibingwa Mtwara
Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia Huduma za kibingwa za Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zitaanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali la kusogeza huduma za kibingwa karibu…
Watoto 53 wazaliwa siku ya Sensa Zanzibar
Watoto 53 wazaliwa siku ya Sensa Zanzibar Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM),mkoa Mjini (Kichama), Talib Ali Talib, ameitaka jamii kujenga tabia ya kutembelea wagonjwa wakati wa matukio maalum ya kitaifa ili kuimarisha imani na mappenzi miongoni…
Mfuko wa dunia watoa bil.17/- kuboresha huduma za wajawazito
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imepata ufadhili wa Shilingi Bilioni 17 kutoka Mfuko wa Dunia wa Ufadhiliwa Huduma za Afya kwa ajili ya kuboresha huduma za wajawazito na watoto wachanga nchini ili kupunguza vifo vya…
MOI wafanya upasuaji wa kibingwa kwa wagonjwa 7113
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kufanyia upasuaji wa kibingwa wagonjwa 7113 wa tiba ya mifupa ikiwa ni idadi kubwa ukilinganisha na wagonjwa 6793 katika mwaka uliopita huku wagonjwa wa…