Category: Siasa
Mgombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya ACT -Wazalendo aahidi kuleta mabadiliko
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ameahidi kushughulikia changamoto sugu zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo, zikiwemo miundombinu mibovu, elimu yenye michango mingi na kero kwa wavuvi. Katika ziara yake kwenye kata za Msasani…
NLD imeweka vipaumbele vya kumwezesha kijana kujiajiri, yawaomba Watanzania wasifanye makosa Oktoba 29
Mgombea urais kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan, amesema chama chake kimeendesha kampeni za kistaarabu na kisayansi katika mikoa yote 26 nchini, akisisitiza dhamira ya serikali watakayoiongoza kuwa ya kumkomboa Mtanzania kiuchumi na kuwashauri kukichagua chama hicho ili kupata maendeleo….
Zitto awafuata wafanyabiashara na kuomba kura
Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiomba kura kwa wafanyabiashara katika soko la mitumba la Mwanga jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 18, 2025. Zitto aliambatana na viongozi na wanachama wa chama hicho walipokuwa…
Mzee Butiku ateta na Dk Nchimbi kwenye mkutano wa hadhara Rorya
Mgombea mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Emmanuel Nchimbi amekutana na kusaliamiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere Joseph Butiku wakati wa mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu . Dk.Nchimbi ambaye…





