Category: Siasa
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Biashara zinahitaji akili za kisasa
Wiki mbili zilizopita, nilipata wasaa wa kuongea kwa kirefu kwa njia ya simu na mjasiriamali kutoka mkoani Singida. Katika mazungumzo yetu mjasiriamali huyu wa miaka mingi alilalamika namna biashara zilivyobadilika nyakati hizi na namna ushindani unavyotishia mustakabali wake.
Mjasiriamali huyu alinipa mifano ya namna zamani alivyokuwa akipata faida kubwa katika bidhaa mbalimbali. Anaeleza, “Zamani nilikuwa nakwenda Dar es Salaam na kununua unga wa ngano kwenye mifuko ya kilo 50, nikija hapa Singida nikiuza kwa jumla ninapata faida ya hadi shilingi elfu tano. Leo hii mfuko wa unga wa kilo 50 huwezi amini, ninapata faida isiyozidi shilingi mia tano!
KAGAME NI MTIHANI
Viongozi Maziwa Makuu waufanye kwa uangalifu
Kama kuna nchi ambayo imeweza kurithi vilivyo udanganyifu wa kisiasa na unafiki ambavyo himaya kuu ya zamani ya ‘Roma’ ilikuwa navyo, basi ni Taifa kubwa la sasa ‘Marekani’.
Hakika Marekani ndiyo dola kubwa linaloongoza kwa kuwa ‘wakili wa shetani (the devil’s advocate)’.
Katika enzi hizi za Marekani kuwa dola kubwa, yaani kuwa babeli mkuu, damu ya watu wasio na hatia na wasioujua hata huo ubepari wenyewe imemwagika mno na hakuna hata chembe ya soni au hatia ambayo Marekani imejivisha. Hakika imekuwa Roma. Roma ya ustaarabu na sheria vilivyoleta mateso yasiyomithilika.
Kwanini Zanzibar?
Hili ni swali linalogonga vichwa vya wananchi wengi siku hizi. Hivi karibuni kule bungeni Dodoma kulitokea kadhia kubwa iliyosababisha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kususia vikao na kutoka nje ya bunge hili.
Tangu lini wapinzani wanawapenda wananchi?
Vyama vya upinzani vilivyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) katika Bunge Maalum la Katiba vimesusia vikao vya bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.
Wapinzani wametoa sababu zao za kuchukua hatua hiyo. Kwa mfano, wamesema Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, wametoa vitisho kwamba kukiwapo Serikali tatu Jeshi litachukua nchi.
Vituko vya DC Geita vyaongezeka – 3
DC adaiwa kumtisha Roboyanke
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mnyara, Makoye Roboyanke (CCM), ambaye inadaiwa alivuliwa madaraka hayo na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Manzie Mangochie, amedai kuwa Septemba 10, 2013 mchana akiwa shambani kwake kijijini hapo, alipokea simu ya vitisho kutoka kwa kiongozi huyo wa Serikali.
“Alijitambulisha kwa jina moja la Mangochie na kwamba ndiye Mkuu wa Wilaya ya Geita, akaniuliza jina langu nami nikamjibu… akaniuliza ninachofanya kwa wakati huo na kazi yangu hasa ni nini, nikamwomba arekebishe kauli, na baada ya kurekebisha kauli na kuniuliza maswali ya msingi nilimpa ushirikiano.
- Wadau waeleza matarajio maboresho ya bandari kupitia ushirikiano wa umma na sekta binafsi
- Jeshi la Polisi laimarisha ulinzi sherehe za Mwaka Mpya
- Makamu wa Rais atoa pole msiba wa Laurencia Mabella
- Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa
- Mavunde akabidhi madawati 2713 kwa sekondari za Dodoma Jiji
Habari mpya
- Wadau waeleza matarajio maboresho ya bandari kupitia ushirikiano wa umma na sekta binafsi
- Jeshi la Polisi laimarisha ulinzi sherehe za Mwaka Mpya
- Makamu wa Rais atoa pole msiba wa Laurencia Mabella
- Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa
- Mavunde akabidhi madawati 2713 kwa sekondari za Dodoma Jiji
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
- Majambazi wanne wauawa Songwe, waliwahi kufungwa miaka 30 jela
- Serikali yaanza rasmi mchakato wa kuboresha sheria ya elimu
- Wawili wafariki kwa kupigwa na radi Tabora
- Vipaumbele vya Rais Samia vyazalisha ajira 86,621 Pwani
- Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,