Category: Siasa
Rais nje ya nchi kwa nusu mwezi!
Wiki iliyopita nilikuwa mkoani Mara. Nilifika katika Kijiji cha Sabasaba wilayani Butiama, mahali ambako roho takribani 40 za Watanzania zilipotea katika ajali iliyohusisha magari matatu — mawili yakiwa mabasi ya abiria yanayofanya safari zake kati ya miji ya Sirari, Musoma na Mwanza.
Sababu za Italia kusuasua kiuchumi
Licha ya dunia kuwa na jumuiya nyingi za kisiasa na kiuchumi, Umoja wa Ulaya (EU) ni kati ya jumuiya za kisiasa na kiuchumi zilizofanikiwa kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na jumuia nyingine duniani.
Ni jumuiya inayounganisha watu zaidi ya milioni 500 kutoka mataifa wanachama ishirini na nane huku pato la jumuiya likitajwa kufikia dola trilioni 18.45.
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
- Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga
- MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini
- Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
Habari mpya
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
- Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga
- MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini
- Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
- Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi
- Demokrasia si ya kuiga, ijengwe kwa msingi ya nchi
- Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano
- Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia
- Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
- MSD yabainisha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya