Category: Siasa
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Biashara zinahitaji akili za kisasa
Wiki mbili zilizopita, nilipata wasaa wa kuongea kwa kirefu kwa njia ya simu na mjasiriamali kutoka mkoani Singida. Katika mazungumzo yetu mjasiriamali huyu wa miaka mingi alilalamika namna biashara zilivyobadilika nyakati hizi na namna ushindani unavyotishia mustakabali wake.
Mjasiriamali huyu alinipa mifano ya namna zamani alivyokuwa akipata faida kubwa katika bidhaa mbalimbali. Anaeleza, “Zamani nilikuwa nakwenda Dar es Salaam na kununua unga wa ngano kwenye mifuko ya kilo 50, nikija hapa Singida nikiuza kwa jumla ninapata faida ya hadi shilingi elfu tano. Leo hii mfuko wa unga wa kilo 50 huwezi amini, ninapata faida isiyozidi shilingi mia tano!
KAGAME NI MTIHANI
Viongozi Maziwa Makuu waufanye kwa uangalifu
Kama kuna nchi ambayo imeweza kurithi vilivyo udanganyifu wa kisiasa na unafiki ambavyo himaya kuu ya zamani ya ‘Roma’ ilikuwa navyo, basi ni Taifa kubwa la sasa ‘Marekani’.
Hakika Marekani ndiyo dola kubwa linaloongoza kwa kuwa ‘wakili wa shetani (the devil’s advocate)’.
Katika enzi hizi za Marekani kuwa dola kubwa, yaani kuwa babeli mkuu, damu ya watu wasio na hatia na wasioujua hata huo ubepari wenyewe imemwagika mno na hakuna hata chembe ya soni au hatia ambayo Marekani imejivisha. Hakika imekuwa Roma. Roma ya ustaarabu na sheria vilivyoleta mateso yasiyomithilika.
Kwanini Zanzibar?
Hili ni swali linalogonga vichwa vya wananchi wengi siku hizi. Hivi karibuni kule bungeni Dodoma kulitokea kadhia kubwa iliyosababisha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kususia vikao na kutoka nje ya bunge hili.
Tangu lini wapinzani wanawapenda wananchi?
Vyama vya upinzani vilivyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) katika Bunge Maalum la Katiba vimesusia vikao vya bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.
Wapinzani wametoa sababu zao za kuchukua hatua hiyo. Kwa mfano, wamesema Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, wametoa vitisho kwamba kukiwapo Serikali tatu Jeshi litachukua nchi.
Vituko vya DC Geita vyaongezeka – 3
DC adaiwa kumtisha Roboyanke
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mnyara, Makoye Roboyanke (CCM), ambaye inadaiwa alivuliwa madaraka hayo na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Manzie Mangochie, amedai kuwa Septemba 10, 2013 mchana akiwa shambani kwake kijijini hapo, alipokea simu ya vitisho kutoka kwa kiongozi huyo wa Serikali.
“Alijitambulisha kwa jina moja la Mangochie na kwamba ndiye Mkuu wa Wilaya ya Geita, akaniuliza jina langu nami nikamjibu… akaniuliza ninachofanya kwa wakati huo na kazi yangu hasa ni nini, nikamwomba arekebishe kauli, na baada ya kurekebisha kauli na kuniuliza maswali ya msingi nilimpa ushirikiano.
- Watuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara raia wa China wakamatwa
- Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid afungua mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati kwa sekondari Shinyanga
- Ushirikiano wa wadau ni muhimu kufikia lengo la nishati safi ya kupikia la 2034 – Salome
- Mkuu wa Jeshi la Magereza afungua mafunzo ya utekelezaji wa programu za urekebishaji kwa maafisa ustawi wa jamii
- Manispaa Kibaha yatoa milioni 991 kwa vikundi 51
Habari mpya
- Watuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara raia wa China wakamatwa
- Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid afungua mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati kwa sekondari Shinyanga
- Ushirikiano wa wadau ni muhimu kufikia lengo la nishati safi ya kupikia la 2034 – Salome
- Mkuu wa Jeshi la Magereza afungua mafunzo ya utekelezaji wa programu za urekebishaji kwa maafisa ustawi wa jamii
- Manispaa Kibaha yatoa milioni 991 kwa vikundi 51
- Mramba aitangaza Tanzania Canada, asema ni kitovu cha uwekezaji nishati
- Ujumbe wa Tanzania washiriki maadhimisho ya kuzuia utumikishwaji wa mtoto Geneva
- MSD yaihakikishia Kamati ya Bunge ubora wa huduma katika utekelezaji wa bima ya afya kwa wote
- WRRB yanadi ufanisi mfumo wa stakabadhi za gha Misri, yafungua milango ya biashara ya mifugo
- Mahundi aieleza dunia hatua za Tanzania katika kulinda haki za wenye ulemavu
- Mbunge Anne Kilango aongoza mapokezi ya shujaa wa AFCON U -17 Same Mashariki
- Tanzania, Singapore, zaimarisha ushirikiano wa uendelezaji ujuzi na rasilimali watu
- TRA kuadhimisha miaka 30, Rais kutoa tuzo kwa walipa kodi bora
- Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA ni mkakati wa kujenga vijana wenye afya bora -Prof. Shemdoe
- Ziara ya Rais Samia Urusi imethibitisha hatufungamani upande wowote -Wasira