JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE

 

Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (5)

Huu ni mtiririko wa maandishi yaliyomo kwenye kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Sehemu iliyopita, Mwalimu alisema, “Ni vigumu kuelewa kwa nini watu walio tayari kuwabebesha wananchi mzigo wa SeIikali tatu za kudumu, wanahofu gharama za kura ya maoni ya mara moja! Na kama viongozi wetu ni wapumbavu kiasi cha kwamba hawawezi kutunga swali “Je, unataka Serikali tatu?” Au “Je, unataka Serikali ya Tanganyika?” Kazi hiyo wangeweza kuwaachia wataalamu wenye uwezo zaidi.” Endelea…..

Kwa kutambua kwamba Bunge linafanya uamuzi yake kwa njia ya kura baada ya mijadala ya wazi, Serikali iliona kwamba hoja yoyote kati ya hizi ingewasilishwa bungeni, ingeweza kuligawa Bunge, kukigawa chama chetu na kuwagawa wananchi katika suala zito kama hili la Muundo wa Muungano.

Serikali sikivu inafitiniana, inafitinika

Utawala wa Serikali sikivu chini ya  chama tawala unaendelea kuwadhihirishia Watanzania kuwa umefitinika na sasa kila kiongozi  anadunda na lake na kauli zake na maagizo yake, bila kujali kuwa  uamuzi wao kwa upande mwingine unawaumiza Watanzania ambao kila siku wamekuwa wanasifiwa kuwa Serikali yao sikivu inawasikia.

Manyerere fahamu kuwa majaji wanapendelewa, sisi mahakimu tumetupwa

Habari kaka Jackton,

Nimebahatika kusoma makala yako katika Gazeti la JAMHURI toleo Na. 106 la tarehe 22 hadi 28 Oktoba. Makala hayo yana kichwa cha habari “Rais dikteta atatutoa hapa tulipo”. Katika makala hiyo umeitendea haki heading yako na nakupongeza kwa hilo.

Kamati ya Bunge kuamua hatma ya Pinda

Mara kwa mara Bunge linapounda kamati teule na ripoti yake kusomwa bungeni, zimekuwa zikisababisha kuondoka madarakani kwa watendaji mbalimbali.

Yah: Sasa naomba kura zenu rasmi 2015

Nilikuwa nimekaa natafakari katika kipindi hiki chote cha maisha yangu, ni lini naweza nikajitoa kwa ajili ya Taifa langu, lakini pia nikajiuliza nitaanzia wapi?

Wizara ya  Elimu imekosa viongozi wazalendo

Katika toleo la Gazeti la JAMHURI la Oktoba 29-Novemba 4 mwaka huu, Jenster Elizabert wa Mwanza amenipongeza kwa kupigania elimu bora Tanzania kwa njia za makala zinazozungumzia masuala mbalimbali ya elimu.