Category: Siasa
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (6)
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya tano ya mtiririko wa maandiko ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere juu ya Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania. Katika kitabu alichokiandika mwaka 1994, Mwalimu alisema: “Ati Chama hakiwezi kupinga Bunge lake, lakini kwa mantiki ya ajabu ajabu wabunge wanaweza kupinga chama chao! Hiyo ndiyo demokrasia halisi ya mageuzi. Nilirudi Butiama nikalipa ada yangu ya CCM na nikaandika utenzi wa Tanzania Tanzania!” Endelea…
Jukumu la kueleza taarifa hii ya Serikali katika Halmashauri Kuu ya Taifa aliachiwa Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mheshimiwa Samuel Sitta. Baadaye, baada ya kikao nilimtafuta Ndugu Sitta, nikampa pole kwa kupewa jukumu la kueleza jambo ambalo halielezeki.
Katiba ya nchi siyo ya CCM
Mhariri JAMHURI,
Nachukukua nafasi hii kwanza kulipongeza Gazeti la JAMHURI kwa kujitolea kuweka wazi kuhusu dawa za kulevya na pia kuhusu uwindaji haramu.
- TANESCO Kimbiji yawasogezea huduma wananchi, yatoa elimu matumizi ya nishati safi ya kupikia
- NMB Foundation, Mercy Corps wasaini mradi wa bil. 2.6/- kukuza biashara
- Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB
- Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa
- Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club
Habari mpya
- TANESCO Kimbiji yawasogezea huduma wananchi, yatoa elimu matumizi ya nishati safi ya kupikia
- NMB Foundation, Mercy Corps wasaini mradi wa bil. 2.6/- kukuza biashara
- Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB
- Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa
- Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club
- Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC
- Wakulima waonja matunda ya stakabadhi za ghala, mauzo yapanda kwa asilimia 43.6
- ASGM yazalisha asilimia 40 ya dhahabu Tanzania, matumizi ya zebaki yaendelea kuwa changamoto
- Wadau wahamasisha teknolojia mbadala kupunguza matumizi ya zebaki migodini
- Prof. Nombo: Ujuzi wa kisasa ni nguzo ya viwanda na teknolojia
- Mbio za mwenge zazindua mradi wa nishati safi Simiyu
- Morocco, Tanzania zaimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kidiplomasia
- Rais Samia athibitisha nia ya maridhiano kuelekea mchakato wa maboresho wa katiba, ateta na viongozi vyama vya siasa
- Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’
- Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji