JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

BARUA ZA WASOMAJi

 

Wafanyakazi turudi, tutafakari, tuamue, tujitambue

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia hali ya mambo ndani ya mashirikisho ya vyama vya wafanyakazi Tanzania, baadhi yanafurahisha na mengine yanatia simanzi.

MISITU & MAZINGIRA

Tupande miti ili kukuza uchumi wetu (2)

Urahisi wa kutumia mkaa si bei yake, bali ni kutokana upatikanaji wake (unasambazwa sehemu nyingi mijiji na wauzaji wadogo wadogo) na mtumiaji halazimiki kuweka mkaa mwingi, bali ananunua kulingana na mahitaji ya kila siku pengine kwa kutumia Sh 500 au 1,000 kwa kwa siku.

Ni wakati wa Tanganyika kuachana na Zanzibar?

Alhamisi, Septemba 26, mwaka huu Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Shariff Hamad, alizungumza na watu wanaodaiwa kuwa ni Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara, jijini Dar es Salaam.

JAMHURI YA WAUNGWANA

Rais dikteta atatutoa hapa tulipo

Taifa lipo njia panda. Sheria hazifuatwi. Kila mmoja wetu anataka afanye au afanyiwe lile analotaka. Masikini wanazidi kuumia. Lakini kwa nafasi zao, nao wameamua kufanya kila wanaloweza alimradi nao wasiwe nje ya mparaganyiko huu.

Nyerere muumini wa ujamaa aliyetutoka

 

Ni miaka 14 imepita tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alipofariki dunia Oktoba 14, 1999 katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas, London, nchini Uingereza.

Heri akina Sipora wanaomuenzi Mwalimu Nyerere kwa vitendo

Kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kila mwaka inapofika Oktoba 14, sasa ni fasheni.