JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

KAULI ZA WASOMAJI

JAMHURI limetufumbua macho

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Serikali imiliki mashirika nyeti

“Mashirika ya msingi na nyeti kwa maendeleo ya taifa kama bandari, reli, posta na simu, nishati na mabenki ya umma yaliyopo, yaendelee kumilikiwa na dola. Wananchi wataweza kuuziwa sehemu ya hisa katika mashirika hayo na mashirika haya yanaweza kuingia ubia na makampuni binafsi, mradi tu kwa uwiano unaolifanya shirika kuendelea kuwa la dola.”

Shirika la Fedha la Kimataifa siyo Wizara ya Fedha ya Kimataifa

 

Hii ni sehemu ya hotuba iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwenye kilele cha Sherehe za Mei Mosi, 1995 mjini Mbeya. Kwenye sehemu iliyopita, Mwalimu alisema mtu yeyote mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu na wewe una akili na unajua ni ya kipumbavu na ukayakubali, atakudharau. Alielezea hisia zake juu ya uuzwaji holela wa viwanda na mashirika yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida. Endelea…

 

Nchi moja mataifa mawili

Ndugu zangu, Watanganyika na Wazanzibar, natumaini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kutoa neema kubwa na ndogo hamjambo na mnaendelea na mapambano ya kulijenga taifa lililobarikiwa kuliko taifa lolote jirani.

Tanzania iwe kwa Watanzania kwanza

Chama cha Tanganyika African National Union (TANU) kilichodai Uhuru wa nchi hii kilikuwa na ahadi nzuri. Baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizirithi.

Matatizo ya sekta ya vitabu Tanzania

Kama tujuavyo, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeanza kutekeleza mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), huku Taifa likiwa na matatizo makubwa ya kuwapo kwa vitabu vibovu shuleni. Ni matatizo yaliyotokana na sera mbovu ya vitabu Tanzania.