Category: Siasa
JAMHURI YA WAUNGWANA
Mawazo yametuama kwenye bodaboda
Tanzania haikosi mambo yanayoibua mijadala. Tukimaliza moja, lazima litaibuka jingine. Tumekuwa Taifa la mijadala ambayo mingi haina tija.
Katiba mpya iakisi uzalendo (2)
Sehemu iliyopita, mwandishi alieleza hatari ya kuwa na uraia wa nchi mbili, akisema haufai. Pia akataka wananchi wafikirie kiuzalendo Katiba yetu na iwe kweli ya Kiafrika na hasa hasa ya Kitanzania. Endelea…
Obama amedhihirisha ugaidi ni tishio
Tanzania imepata bahati ya kutembelewa na Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni miongoni mwa viongozi wakuu maarufu wachache duniani. Marekani ni taifa lenye nguvu kubwa ya kijeshi na kiuchumi. Ni miongoni mwa mataifa yanayounda Umoja wa G8 – yaani mataifa manane yenye nguvu za kiuchumi na kijeshi duniani.
FIKRA YA HEKIMA
Majeshi ya vyama vya siasa yafutwe
Kuna haja ya serikali kutafakari upya kwa kuangalia uwezekano wa kufuta majeshi katika vyama vya siasa hapa Tanzania, kuepusha mfarakano wa Watanzania.
Katiba mpya iakisi uzalendo (1)
*Uraia wa nchi mbili haufai, tuuache
Baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa Rasimu ya Katiba mpya kwa wananchi kuitafakari, nchi nzima imelipuka. Natumia neno kulipuka kusisitiza furaha ya wananchi kwa tukio hili.
Barua ya wazi kwa Rais Jakaya Kikwete
Mheshimiwa Rais Jakaya M. Kikwete, kwa unyenyekevu na heshima ninaleta ombi la kuonana nawe ana kwa ana nikueleze shida inayonikabili.