Category: Siasa
Vidonda vya tumbo na hatari zake (4)
Katika sehemu ya tatu ya makala haya, Dk. Khamis Zephania alieleza maana na sababu za fumbatio, vidonda vya umio na jinsi vidonda vya tumbo vinavyotokea. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nne…
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (4)
Sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya ilihoji kama kipo chama chochote cha wazee kushughulikia kilio chao, kuwasemea na wakasikika kama Umoja wa Vijana au Umoja wa Wanawake (UWT), au Umoja wa Wafanyakazi (TUCTA), au Umoja wa Wazazi (TAPA)? Mwandishi aliuliza, kwanini hali namna hiyo itokee kwa wazee? Mbona wapo wazee wasomi wengi tu wenye uwezo mkubwa wa kuongoza? Endelea.
BARACK OBAMA:
Rais wa Marekani wa tatu kuzuru Tanzania
Barack Obama anakuwa Rais wa Marekani wa tatu kuzuru Tanzania, ambayo imekuwa nchi ya kwanza kutembelewa na rais huyu katika ukanda wa Afrika Mashariki.
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Vyama vijihadhari kutumiwa
“Shughuli za demokrasia lazima ziwe kazi ya kudumu katika chama cha kidemokrasia na katika taifa la kidemokrasia, vinginevyo chama hicho wakati wote kitakuwa katika hatari ya kutumiwa na wakorofi wachache tu.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tujifunze uzalendo, uchapaji kazi wa Wamarekani
Mwaka 2004 nilipata fursa ya kuzuru maeneo kadhaa nchini Marekani kwa muda wa takribani mwezi mmoja. Ilikuwa ziara nzuri. Nilijifunza mengi. Wasafiri wanasema kama hujafika Marekani, hujasafiri. Kauli hii inaweza kuwa ya kweli kwa sababu kuna mengi ya kustaajabisha na kutafakarisha – kuanzia kwenye maendeleo hadi tabia zao.
Mashabiki wa upinzani wajitazame upya
Tanzania ya leo inafuata mfumo wa vyama vingi. Katikati ya mfumo wa vyama vingi Watanzania wamegawanyika katika makundi makuu matatu.