Category: Siasa
Utajiri wa Loliondo na laana yake (1)
Nani wanafadhili mgogoro huu? Nani wananufaika kwa mgogoro huu? Nani anayesema kweli? Haya ni mambo ambayo nitayajadili kwenye mfululizo wa makala haya ambayo naamini yataendelea kutoka kwa wiki kadhaa. Soama sasa.
Kilio cha elimu kwa watoto wa maskini
Desemba 20, 1956 Mwalimu Julius Nyerere akiwa Rais wa TANU, alihutubia Umoja wa Mataifa (Baraza la Udhamini) kwa mara ya pili. Alihutubia Umoja huo kwa mara ya kwanza Machi 7, 1955 akiwa mwalimu wa shule ya sekondari ya Mtakatifu Francis, Pugu, nje kidogo ya mji wa Dar es Salaam.
Vidonda vya tumbo na hatari zake (3)
Hata hivyo, watu wengi wamekuwa wakichanganya tumbo na fumbatio. Wanasema tumbo wakimaanisha fumbatio. Hapa nieleze kwa ufupi kuhusu fumbatio.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (3)
Wiki iliyopita, katika mfululizo wa makala haya, mwandishi alieleza namna Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alivyoshirikishwa na wazee wa Dar es Salaam na Bagamoyo katika masuala mbalimbali ya kulikomboa Taifa. Alikomea kwenye maelezo ya Mwalimu alivyoumwa kichwa, lakini akapona baada ya kufuturu nyumbani kwa Mzee Ramia. Endelea.
Haki, ukweli ni nguzo za amani (3)
Katika makala yaliyopita nilizungumzia ukweli kuwa nguzo mojawapo ya amani. Nilisema ukweli ni jambo ashrafu na ni nguvu moja ya amani. Watanzania hatuna budi kuelewa, kuthamini, kukumbuka na kutumia ukweli katika majadiliano na mazungumzo yetu, na wenzetu wa nchi za nje.
Tatizo la Mtwara ni ubabe wa Serikali
Watu wengi wametia mikono yao magazetini kuandika habari za vurugu zilizoendelea kutokea Mtwara kuhusu suala la gesi.