JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

NUKUU ZA WIKI

 

Mwalimu Nyerere: Tukatae mawazo ya kipumbavu

“Watu tunaafikiana na wazo, lakini mawazo ambayo waziwazi ni ya kijinga lazima tuyakatae. Mtu mwenye akili timamu akikupa mawazo ya kipumbavu, usipoyakataa anakudharau. Sasa hatuwezi kukubali mambo ya kipumbavu Tanzania.”

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema haya kuhimiza watu kuwa makini katika kupokea mawazo ya wengine.

RIPOTI MAALUMU

 

Ujangili nje nje (2)

Wiki iliyopita JAMHURI ilieleza habari za uchunguzi kuhusu ujangili unaofanywa na baadhi ya wananchi katika Kijiji cha Mkata na vijiji jirani na Hifadhi ya Taifa ya Mikumi

mkoani Morogoro.

Chadema: Tunataka Serikali 3

Chadema: Tunataka Serikali 3

Wiki iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kiliwasilisha maoni yake kwa Tume ya Taifa ya Marekebisho ya Katiba. Ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya mapendekezo yao:-

Nukuu ZA WIKI

Nyerere: Kuna watu wenye kasoro CCM

“Kutokana na umri wake mkubwa, watu wengi wenye kasoro wamejiingiza kwenye chama hiki. Sasa kimekuwa kama kokoro ambalo wakati mwingine hubeba viumbe visivyohitajika. Tunao watu wa ajabu ndani ya CCM ambao hawafanani na CCM.”

 

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, wakati akikemea watu wasio na sifa ya kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Tuchague viongozi wanaostahili

“Ni dhahiri kwamba uongozi wa Chama chetu lazima ushikwe na wanachama wa CCM. Tunachoweza kukosolewa ni kwamba wakati mwingine tunachagua viongozi wasiostahili.”


Haya yalisemwa na Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, wakati akihimiza wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuondokana na kasumba ya kuchagua viongozi wasiostahili.

Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (4)

Vyama vikubwa Visiwani vilikuwa ARAB ASSOCIATION, INDIAN ASSOCIATION na AFRICAN ASSOCIATION. Na kutokana na vyama hivyo, vikajazaliwa vyama kama SHIRAZI ASSOCIATION na UMMA PARTY.