Category: Siasa
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
Habari mpya
- Wanafunzi St Anne Marie Academy watoa msaada kituo cha yatima Dar
- Trump atangaza kuiondolea vikwazo vyote Syria
- Wanafunzi wa kidato cha sita 130 Milambo sekondari watimuliwa
- Rais Samia, hili la msamaha wa faini za ankara za maji, umekonga nyoyo za wananchi
- MOI kutoa matibabu bure siku saba Mbagala
- Jafo aonya vijana kunywa pombe kupita kiasi
- Runali chagawa pembejeo 3000 kwa wakulima zao korosho Nachingwea
- Uboreshaji bandari ya Karema unaofanywa na Serikali kupitia TPA wavutia wawekezaji
- Abiria 1,200 wanusurika ajali ya treni mjini kwenda Pugu, 10 wakimbizwa hospitali
- Ubovu wa barabara Arusha, kikwazo cha maendeleo, usalama na hadhi ya Jiji la Kitalii
- Rais wa Finland kuanza ziara kesho nchini kwa mwaliko wa Rais Samia
- Rais Samia aongoza Watanzania mazishi ya hayati Cleopa Davis Msuya wilayani Mwanga
- Dk Biteko awasili nchini Morocco kwa ziara ya kikazi
- Siasa zisiingizwe JWTZ
- Rais Samia aongoza Watanzania maziko ya Cleopa Msuya
Copyright 2024