Category: Uchumi
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo
Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.
- Bei ya mafuta ya petroli kwa Septemba yashuka
- Mmiliki kiwanda cha kutengeneza ndege Morogoro aongeza mkataba wa uwakilishi wa heshima
- Mradi wa Tactic kujenga barabara za lami KM 17 Manispaa ya Geita
- Matumizi ya nishati safi kupikia yapata msukumo mpya
- Mbio za kukinadi Chama cha Mapinduzi Geita zaanza kwa kishindo
Habari mpya
- Bei ya mafuta ya petroli kwa Septemba yashuka
- Mmiliki kiwanda cha kutengeneza ndege Morogoro aongeza mkataba wa uwakilishi wa heshima
- Mradi wa Tactic kujenga barabara za lami KM 17 Manispaa ya Geita
- Matumizi ya nishati safi kupikia yapata msukumo mpya
- Mbio za kukinadi Chama cha Mapinduzi Geita zaanza kwa kishindo
- Sakata la muuguzi na askari kuvutana Hospitali ya Kibondo, Serikaki yatoa ufafanuzi
- RC Makalla awatembelea viongozi wa dini
- Nyenzo ya utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Watoto imepatikana
- Tumekuja kusikiliza Ilani ya CCM hapa Bukombe – Geita
- Watu 1,000 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan
- NIRC yaanza kuchimba visima 52 Tabora, wakulima sasa kujikita kilimo cha umwagiliaji
- Wizara ya Ardhi yapata tuzo kushriki kikamilifu mkutano wa TRAMPA 2025
- Msajili Hazina aipa tano TPA
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 2 – 8,2025
- Kafulila: Tanzania inaweza kufikia uchumi wa dola trilioni 1 endapo tutabadilika