Category: Uchumi
Kweli Tanzania si shamba la bibi?
Toleo lililopita kupitia gazeti hili nilitoa makala yenye ushauri kwa Rais Jakaya Kikwete asizungumzie usalama wa nchi nyingine na ajikite kutatua matatizo ya kiusalama na tishio la kutoweka kwa amani kwenye nchi yetu kabla ya kuwashauri viongozi wa nchi nyingine.
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
- Rais Samia kumuasili mtoto aliyetelekezwa kunavyodhihirisha upendo wake kwa jamii
- Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran
- Tanzania, Uganda zaainisha maeneo manne ya ushirikiano wa kimkakati
- Msajili wa Hazina na Arise Investments kuimarisha uwekezaji NMB
- Mradi wa Lupali mbioni kukamilika, kuingiza umeme gridi ya Taifa kilowati 317
Habari mpya
- Rais Samia kumuasili mtoto aliyetelekezwa kunavyodhihirisha upendo wake kwa jamii
- Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran
- Tanzania, Uganda zaainisha maeneo manne ya ushirikiano wa kimkakati
- Msajili wa Hazina na Arise Investments kuimarisha uwekezaji NMB
- Mradi wa Lupali mbioni kukamilika, kuingiza umeme gridi ya Taifa kilowati 317
- Balozi Mbundi akutana na wanachuo NDC asisitiza ushirikiano wa kimataifa
- Serikali yapendekeza kukusanya na kutumia trilioni 62.334/- kwa mwaka wa fedha 2026/27
- Tanzania yashiriki mkutano wa uwezeshaji wanawake
- Takwimu za TPDC zafichua nafasi kubwa ya vijana sekta ya nishati
- Tanzania, Uganda zasisitiza utekelezaji kwa vitendo katika kukuza ushirikiano wa uwili NA
- REA yatoa zaidi ya bilioni 5/- kuzalisha umeme wa maji Lupali
- Dk Maghembe, Luswetula wawasili Afrika Kusini kushiriki Mkutano wa 47 wa SADC
- Dk Samia afanya mazungumzo na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa
- CCM yafanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa Dodoma
- Rais Dkt. Samia aasili mtoto Grace Samia Suluhu