Category: Uchumi
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (2)
Sehemu ya kwanza, Dk. Felician Kilahama, akiwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCDI, anaeleza ziara yake katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’, akiwa na wajumbe wa Bodi. Pia anaeleza kuwa wafadhili kutoka Shirika la Kimataifa la Kuhifadhi Viumbehai na Mimea Ofisi za Denmark na Tanzania, walikuwapo.
Mfanyabiashara afanya unyama Geita
* Akodi vijana, wavunja nyumba, watembeza mkong’oto
* Baba mwenye nyumba atekwa, atelekezwa porini
* Watu 17 wakosa makazi
Vilio, simanzi na huzuni vimetawala katika Kitongoji cha Shinde, Kijiji cha Buhalahala, Kata ya Kalangalala wilayani Geita, kufuatia familia moja katika eneo hilo yenye watu 17 wakiwamo watoto wachanga, kukosa makazi baada ya makazi yao kubomolewa.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (8)
Wiki iliyopita, tuliona Dk. Khamis Zephania pamoja na mambo mengine, akizungumzia milo mbalimbali ya watu na urithi wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya nane…
Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake (Hitimisho)
Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, katika sehemu ya tatu ya makala
haya alielezea kwa kina kuhusu yasiyofunguza na adabu za funga. Sasa fuatana naye katika sehemu hii ya mwisho…
Fadhila za funga
Zimepokewa hadithi nyingi zinazoelezea fadhila za funga ya Ramadhani, miongoni mwa hizo ni zifuatazo:
MISITU & MAZINGIRA
Misitu inavyokinufaisha Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ (1)
Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ni mojawapo za wilaya chache Tanzania Bara zilizobahatika kuwa na misitu ya asili ya kutosha ikilinganishwa na maeneo mengine nchini. Pamoja na kuwa na rsilimali misitu ya kutosha yenye aina za miti ya thamani sana mfano, mipingo (Dulbergia melanoxylon), Kilwa ni kati ya wilaya maskini nchini.
Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo
Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.
- Serikali juboresha maendeleo ya raslimali watu kazini
- Waziri wa Ardhi awaasa wahitimu Arimo kujiepusha na matendo maovu
- Serikali itahakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima – Chongolo
- Ujenzi wa jengo la kituo cha mafunzo ya kuongeza thamani madini ya vito waanza Arusha
- Uzalishaji maji washuka kutoka lita milioni 270 hadi lita 50 kwa saa
Habari mpya
- Serikali juboresha maendeleo ya raslimali watu kazini
- Waziri wa Ardhi awaasa wahitimu Arimo kujiepusha na matendo maovu
- Serikali itahakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima – Chongolo
- Ujenzi wa jengo la kituo cha mafunzo ya kuongeza thamani madini ya vito waanza Arusha
- Uzalishaji maji washuka kutoka lita milioni 270 hadi lita 50 kwa saa
- Polisi wahimiza wananchi kuepuka vitendo vinavyoashiria vurugu
- Manispaa Kibaha yamkabidhi baiskeli maalum mwanafunzi mwenye ulemavu
- Nchimbi: Taifa limepata pengo kuondokewa na Jenista Mhagama
- Rais Samia amlilia Jenista Mhagama
- Tanzania kunufaika na zaidi ya USD milioni 15 kutatua changamoto za mazingira
- Samia aokoa maisha ya wana Bukombe
- Rais Samia amteua Mkurugenzi Mkuu PSSSF
- RC Kunenge akemea ukiritimba unaokwamisha uwekezaji na huduma kwa wananchi
- Chobo ataka ushirikiano wa kuchochea maendeleo
- Mbunge wa Peramiho Jenista Mhagama afariki