JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Nilibatizwa kwa maji machache, siku hizi ni wa moto

Wakati nilipokuwa mtoto wazazi wangu walinipeleka katika kanisa ambalo mimi nilibatizwa na kupewa jina ninalotumia mpaka leo.  Kwa jinsi ninavyosimuliwa ni kwamba sikulia wakati wa kubatizwa kwa sababu maji hayakuwa mengi kama ambavyo siku hizi watu wanalia kwa kubatizwa ndani…

Mafanikio katika akili yangu (16)

Toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Nina kijana nyumbani ana uwezo mzuri wa uandishi wa vitabu, kwanini msimpe nafasi?’’ alisema Meninda. Sasa endelea…  Mkurugenzi alifikiria kwa dakika chache kisha akamjibu: “Kama yuko nyumbani uje naye siku yoyote ili nimpe kazi…

Uamuzi wa Busara (9)

Wiki iliyopita katika toleo hili la Uamuzi wa Busara tulisoma jinsi Rais wa Tanganyika alivyokuwa ameunda tume ya kuunda Katiba ya Chama cha TANU, lakini tume hiyo ilikuja pia na mapendekezo ya kuundwa Katiba ya muda ya Jamhuri ya Muungano….

Ni kweli hawayaoni au hawataki tu kuyaona? (2)

DAR ES SALAAM Katika makala iliyopita tuliona baadhi ya maeneo ambayo nchi imepiga hatua kwa maendeleo lakini baadhi ya watu, hasa wanasiasa, wanadai kuwa hakijafanyika chochote nchini tangu Uhuru. Lakini Waingereza wana msemo kuwa: “Seeing is believing”; yaani unaamini zaidi…

Kitunda wazindua Parokia

Jumapili Januari 26, 2020 waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania, Kata ya Kitunda, Dar es Salaam wametabaruku Kanisa na Altare. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, ndiye aliyelitabaruku Kanisa hili lenye historia iliyotukuka. Mwandishi…

Bandari ya Kyela yabadili maisha

Kwa miaka mingi mikoa ya Kusini ilikuwa imesahaulika. Katika makala hii tutawaelezea nafasi ya Bandari ya Kyela katika kuleta maendeleo ya kiuchumi kwa Nyanda za Juu Kusini na nchi jirani za Malawi na Msumbiji. Bandari ya Kyela ambayo ipo katika…