Category: Makala
HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (8)
Panga kuvunja rekodi Kuna baadhi ya watu wanapopata matatizo wanavunjika moyo, wengine wanavunja rekodi. Kuwa na maono ya kuvunja rekodi katika eneo ulipo. Hakikisha viwango na masharti vinazingatiwa. Matendo yawe yanayokubalika kisheria na ni mema. Jiwekee viwango ambavyo vitakusaidia katika…
Ubalozi wa China chachu ya maendeleo ya elimu nchini
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeendelea kutoa msaada kwenye maendeleo ya elimu nchini ikiwa ni pamoja na kuchangia ujenzi wa shule na kutoa elimu ya lugha ya Kichina ambayo imekuwa ikifundishwa katika shule na vyuo mbalimbali nchini. Wiki iliyopita Ubalozi…
KIJANA WA MAARIFA (4)
Kujifunza huanza pale woga unapokufa Woga ni adui wa vingi. Woga umefanya watu wengi wafe na wazikwe wakiwa na vitu vya thamani ambavyo dunia ilihitaji kufaidika navyo lakini kilichofaidika ni udongo. Woga umezaa umaskini, woga umefanya watu wakose haki zao….
Rais mstaafu, Mtanzania hawezi kuwa mkweli
Nina shauku kubwa ya kusoma kitabu cha Rais mstaafu Benjamin William Mkapa kuhusu maisha yake kinachoitwa ‘My Life, My Purpose’ (Maisha Yangu, Kusudio Langu). Nina shauku kufahamu mtazamo wake juu ya masuala mbalimbali ya uongozi lakini nikiwa na hofu kuwa yapo mengi…
Mkuki humuua mhunzi
Istilahi za taaluma yoyote zisipotumika kwa uangalifu na maarifa zinaweza kupoteza sifa na heshima ya taaluma. Yaani, wanataaluma wenyewe kudharauliana na kugombana. Na watu wengine katika jamii yao huwabeza, huwacheka na kuwaona hawafai. Hapa nchini kwetu zipo taaluma mbalimbali. Mathalani…
Yah: Naanza kuandika historia ya maisha yangu (1)
Kuna kitu kimenisukuma kuwaza hili hasa baada ya kuona kuna ombwe kubwa sana kati yangu na maisha mapya yaliyopo. Nitaandika kwa sababu pia nimeona kuna umuhimu wa kukumbuka yote niliyoyaishi katika nyakati tofauti za utoto, ujana, makamo na sasa uzee…

