Category: Makala
Yah: Tumekuwa wakukurupuka mno
Inawezekana nimeandika pia barua za kukurupuka wiki nyingi tu zilizopita, lakini dhambi hiyo hainiondoi kwenye kutazama wengine wanafanyaje katika maisha yao. Mara nyingi mtu hajioni kilema chake isipokuwa kilema cha mwingine, na katika hili huwa tunaona vilema vidogo na kusahau…
Mafanikio katika akili yangu (7)
Huu ni mwendelezo wa kitabu cha toleo la kwanza. Ni hadithi inayozungumzia mwenendo na ndoto ya kijana Noel ambaye alitokea katika familia duni na hatimaye akafanikiwa kwa kiwango kikubwa. Fuatilia hadithi hii yenye mafunzo na hamasa… Noel akiwa nyumbani kwa…
KIJANA WA MAARIFA (1)
Dunia inatawaliwa na wenye maarifa Tupo katika kipindi ambacho kuwa na maarifa ni jambo muhimu mno. Dunia ya sasa inatawaliwa na watu wenye maarifa. Bila kuwa na maarifa utajiweka katika wakati mgumu sana. Maarifa yatakufanya uongoze kila unapokwenda. Maarifa yatakufanya…
Ana kwa ana na Rais Nyerere (4)
Swali: Unasema kuwa umma hauna nguvu hasa, hii ni kweli, lakini pia ni hatari kubwa kutoa madaraka kwa umma wakati uongozi hauna imani na jambo hilo. Mifano ya Obote na Nkrumah na viongozi wengine wa Kiafrika inaonyesha haya wazi. Hii…
Taasisi ya MOI katika kipindi cha miaka 4 ya Rais Magufuli
Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) ni Taasisi pekee bobezi katika matibabu ya Mifupa, ajali, upasuaji wa ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kati. Ikiwa na umri wa miaka 23 Taasisi hii…
MAFANIKIO YA OSHA KATIKA MIAKA MINNE YA JPM
Imetimia miaka minne tangu Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais, Dk. John Pombe Magufuli, ilipoingia rasmi madarakani. Sote tutakumbuka kwamba awamu hii ya uongozi iliingia kwa kishindo kikubwa huku ikijipambanua kuwa na nia ya dhati ya kuwainua Watanzania…



