Category: Makala
Uislamu ni dini ya kijamii
Awali ya yote, mimi na wewe msomaji wa makala hii tumshukuru Mwenyeezi Mungu kwa neema zisizo na idadi alizotutupa na anazoendelea kutupa kwa hisani yake na ambazo tukijaribu kuzihesabu hatuwezi kamwe kudhibiti idadi yake. Neema za Mola wetu Mlezi kwetu…
Ukianguka mara 99 inuka mara 100 (1)
Habari njema kwa wanafamilia wa ukurasa wa TUZUNGUMZE. Mwaka huu nimetoa chapisho langu la kitabu kipya. Kitabu hiki kinaitwa SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA. Ni kitabu kilichojaa hekima, busara, ushauri na matumaini ya maisha yetu. Mpaka sasa mlango wa kupata nakala yako uko…
HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (3)
Kinachokosekana kwenye yai kitafute kwenye kuku. Panga kuwa na kuku. Hatupangi kushindwa, tunashindwa kupanga. Kinachokosekana kwenye mto kitafute kwenye ziwa. Ukitamani kwenda mbali liache yai, tafuta kuku. Wacha kitanda ili kutanda. (Methali ya Kiswahili). Kutanda ni kuenea au kutandaa. Ukitamani kwenda…
Mambo matatu yapelekwa Umoja wa Mataifa
Suala la mazingira na matatizo ya tabia ya nchi, kuondolewa vikwazo nchini Zimbabwe na Bara zima la Afrika kuwa la viwanda ni mambo makuu ambayo Tanzania imeyapeleka katika Mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa uliofanyika New…
Yah: Barua ya wazi kutoka kuzimu (1)
Kama wiki moja hivi imepita tangu nipitiwe na usingizi mzito kama ule wa kutolewa ubavu mmoja ili kumuumba mwanadamu mwenzangu uliponikumba katika mazingira ya ajabu, ningeweza kujiita majina ya ajabu ambayo wengine wamejibatiza huku wakijua hawakupata nafasi ya kuota kama…
Mafanikio katika akili yangu (4)
Katika toleo lililopita sehemu ya tatu tuliishia aya isemayo: “Leo sijaonana naye hata kidogo,” alisema rafiki yake Noel akiwa anasogea na kuegemea mtini. “Shule ni ngumu sana?’’ alihoji Mama Noel. Sasa endelea… Japo kuwa kwao Noel kulikuwa ni mjini lakini…