Category: Makala
Yah: Urasimu kwa wasomi ni pigo
Kwanza napenda kuwashukuru wote waliotupatia pole ya msiba wa kijana aliyetoweka katika ulimwengu wa habari, mwenye nguvu ya kazi na mweledi wa kile alichokuwa akifanya. Mwenyezi Mungu alimpenda zaidi na hatuna namna nyingine zaidi ya kushukuru kwa kila jambo. Katika…
Mafanikio katika akili yangu (3)
Toleo lililopita katika sehemu ya pili tuliishia aya isemayo: “‘Dah! Biashara hii sasa mbona inaendelea kufilisika?’ aliwaza kichwa kikawa na msongo wa mawazo. Siku hiyo ilikuwa ngumu kwa Mama Noel kutengeneza pombe nyingine, kwa kuwa hakuwa na pesa hata senti moja….
NINA NDOTO (36)
Nitaifanyia nini nchi yangu? Kila kukicha, kila eneo ninakopita nasikia watu wakilalamika nakusema nchi yao haijafanya hiki, au serikali haijawafanyia kile. Lakini je, ni watu wangapi wanawaza kufanya kitu fulani kwa ajili ya nchi yao? Ni mara ngapi umewaza kuifanyia…
Haya ndiyo malipo kwa wazalendo?
Januari 28, 2016: Wafanyakazi wa TanzaniteOne waliuandikia notisi uongozi wa mgodi huo kupitia Chama cha Wafanyakazi Mgodini (TAMICO) baada ya haki na masilahi yao kukiukwa na mgomo huo ulipaswa kuanza Februari 1, 2016. Hata hivyo mgomo huo haukufanikiwa baada ya…
TPA: Hakuna kulala bandarini, mteja chukua mzigo wako saa 24/7
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na wadau wake wa bandari imeboresha na kurahisisha upakiaji, upakuaji na utoaji wa mizigo katika bandari zake. Uboreshaji huo umefanyika na unaendelea kufanyika kwa sababu bandari ni lango kuu la biashara…
Baba utufundishe kutafakari
Ndugu Rais, tunasoma katika Biblia Takatifu kuwa wanafunzi wake Bwana Yesu walimwambia, “Mwalimu utufundishe kusali kama Yohani Mbatizaji alivyowafundisha wafuasi wake”. Yesu akawajibu akawaambia, “Mnaposali salini hivi; Baba yetu uliye Mbinguni, jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike, utakalolifanyike duniani kama…