Category: Makala
HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (1)
Kupanga ni kumaliza mwaka kabla hujauanza Kupanga ni kuvuka daraja kabla ya kulipita, kupanga ni kukata kanzu kabla mtoto hajazaliwa. Kupanga ni kuhesabu mayai kabla ya kutagwa. Kupanga ni kuweka bati kwenye paa kabla ya mvua kunyesha, ni kuchimba kisima…
Kwa mfumo huu Rais ataendelea ‘kulia’
Baada ya panguapangua mkoani Morogoro iliyogusa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi na Mkurugenzi wa Maendeleo (DED) wa Wilaya ya Malinyi, nikakumbuka makala niliyoiandika takriban miaka miwili iliyopita. Kwenye makala hiyo nilisema Charles Keenja aliongoza vizuri…
Mtanzania usivunje nchi yako
Mabeberu hawawezi kuhujumu na kudhulumu utu na uchumi wa Mtanzania bila kibali cha Watanzania. Kibali hiki hutolewa na Watanzania wachache vibaraka wenye uroho na tamaa ya ukubwa na utajiri wa haraka haraka. Mimi na wewe, Mtanzania mwenzangu wa karne hii,…
Yah: Tupunguze msongo
Kwanza, napenda kutumia fursa hii kuwashukuru wote waliokuwa nasi katika kipindi cha mpito wa magumu ya kifo cha mwenzetu, Godfrey Dilunga. Miji na kaya zetu zimezizima kwa baridi ya simanzi kutokana na kifo chake. Hili limetokea kama ambavyo sisi wenye…
Mafanikio katika akili yangu (2)
Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Kila siku Noel alikuwa anaitwa ofisini kwa mhasibu, kusoma kwake kulikuwa kwa shaka, hakuwa na furaha. Aliishi kwa wasiwasi muda wote alipokuwa shuleni. ‘Nitafanyaje, nitafanyaje?’ ndilo lilikuwa swali lake kila mara kijana Noel….
NINA NDOTO (35)
Imesemwa mara nyingi kwamba afya ni mtaji. Unapokuwa na ndoto kuwa na afya njema ni jambo la tija sana. Usipokuwa na afya njema mara nyingi utatumia muda mrefu kuboresha afya yako kuliko kufanyia kazi zako. Ndoto huhitaji mtu…


