JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Siasa ni muhimu kwa taifa lolote

Naanza na salamu. Salamu ni uungwana wa kawaida kwa muungwana yeyote ili aweze kuwasiliana na mwenzake, maisha ya kuishi kila mtu akimuona mwenzake ni adui si maisha mazuri na kupishana kwa itikadi hakutufanyi tuwe maadui na kukubali matokeo ya walio…

Gamboshi: Mwisho wa dunia (9)

Wiki iliyopita katika sehemu ya 8 hadithi hii iliishia katika aya inayosema: “Shahidi wa pili alikuwa Bibi Judith mwenyewe. Aliieleza mahakama jinsi siku moja walivyokuja jamaa watatu. Mmoja alikuwa Mzungu, mwingine Mwarabu na wa mwisho alikuwa mtu mweusi Mwafrika. Watu…

NINA NDOTO (28)

Tumia kichwa chako vizuri   Kila mtu amezaliwa na kichwa chenye ubongo  kinachoweza kufanya mambo makubwa. Akili aliyopewa mwanadamu ikitumika vizuri inaweza kufanya mambo makubwa na pia kusaidia kutimiza ndoto nyingi. Mtu asiyeweza kutumia akili tunasema amerukwa  akili au ni…

Nyaraka muhimu unapokabidhiwa gari kutoka bandarini

Hivi karibuni tumeeleza njia rahisi ya kutoa gari bandarini katika makala iliyopita. Njia hizi ni zile ambazo  mteja anatakiwa kuzifuata ili aweze kutoa gari lake bandarini kwa haraka na bila usumbufu. Leo katika makala hii tutaelezea umuhimu wa fomu za Vehicle Discharge Inspection Transfer Tally (VDITT)…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (24)

Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji iwapo msomaji unafahamu viwango vinavyotozwa kwenye Kodi ya Zuio. Nirudie kukiri kuwa hadi sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inacho kituo kimoja tu cha Elimu kwa Mlipakodi kilichopo Dar es Salaam. Baada ya…

MIAKA 20 BILA MWALIMU NYERERE

Tunamuenzi vipi?   Kwanza, naomba niwapongeze sana vijana hawa; Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI Ndugu Deodatus Balile na Naibu Mhariri Mtendaji, Ndugu Manyerere Jackton, kwa tuzo za uandishi bora walizopata mwaka huu kwa kazi zao nzuri sana. Walistahili kabisa…