Category: Makala
Siku 100 za Rais Samia, sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa
Na Rashid Mtagaluka, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAREHE 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa hotuba ya kihistoria iliyoweka wazi dira ya Serikali kwa muhula…
Mchengerwa: Sitakubali kuhujumiwa
*Aapa kuilinda NHIF kwa nguvu zote dhidi ya wajanja *Kicheko matibabu saratani, safari za India kubaki historia *Malawi kuanza kuleta wagonjwa 1,900 Ocean Road Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ameapa kupambana na magenge ya watu…
Mafia na mikakati endelevu kupambana na taka baharini
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia KATIKA mwambao wa Mashariki mwa Tanzania, Kisiwa cha Mafia kinajulikana kwa utulivu wake wa asili, mandhari ya kuvutia ya bahari na matumbawe yaliyojaa uhai. Hata hivyo, chini ya uso wa samawati wa maji yake, changamoto ya…
Siku 100 za Bima ya Afya kwa wote
* Kila Mtanzania sasa kupata huduma bora za afya bila ubaguzi *Serikali, TIRA kuhakikisha bima hii inakuwa endelevu kwa wote *Mkakati ni kuona afya za wananchi zinakuwa bora, uchumi unakua *TIRA wazindua jengo lao la makao makuu Ndejengwa jijini Dodoma Na…
Kwa nini Watanzania watajitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati Watanzania wakijiandaa kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika kesho, kuna dalili ya rekodi za nyuma za wapiga kura kuvunjwa katika uchaguzi huu. Kwa…
Kishindo cha Badru chaanza NCAA
*Akamilisha majengo ya mamilioni yaliyotelekezwa *Askari Uhifadhi waonja neema, posho zapanda *Mamilioni ya Ngorongoro sasa mbioni kulipwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Loliondo Uongozi mpya wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) umeanza kufanya mageuzi makubwa ya utendaji kazi. Miongoni mwa…





