Category: Makala
Kampeni za Makonda na chenga ya Dk. Mahiga
Kampeni ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, za kusaka watu ambao wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja imeibua mjadala mkali wa sheria, tabia, na tafsiri ya vyote viwili. Sheria iko wazi: Ni kosa la jinai kujihusisha…
Kufidiwa hasara
Mtu anaweza kukusababishia hasara katika namna nyingi na katika mazingira tofauti. Mathalani, mtu anaweza kukwangua gari lako, unaweza kumpa mtu kifaa kama pikipiki alete hesabu, badala yake si tu ukashindwa kupata pesa, bali pia na hicho kifaa akaharibu. Mwingine anaweza…
Raila Odinga anakuwa Rais Kenya (5)
Wiki iliyopita tuliishia katika eneo linaloonyesha kuwa nchini Tanzania hakuna chama kinachoweza kuunda muungano na kikasimamisha mgombea kama walivyotaka wanasiasa wa upinzani mwaka 2015 kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Kwa Kenya, hili linawezekana. Wamelifanya mara kadhaa na limekuwa…
Je, maumivu ya titi ni saratani?
Nakukumbusha tu msomaji wa safu hii kuwa mwezi Oktoba huadhimishwa kwa kuinua uelewa kuhusu saratani ya titi. Hii ni kutokana na kalenda ya magonjwa ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya afya (WHO) kwa lengo la si tu kuinua…
Ndugu Rais tunyooshe kwa upendo, tutanyooka tu
Ndugu Rais, watu wako wamekusikia vema kwa yote uliyoyasema Novemba Mosi, 2018 katika kongamano la siasa na uchumi lililofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika ukumbi wa Nkrumah. Wamekusikiliza tangu ulivyoanza mpaka ulivyomaliza. Sitaki nikufananishe na mtu yeyote, lakini…
Wanangu tunahitaji ushindi – Lesotho
“Wanangu nendeni mkashinde, nendeni mkapeperushe vizuri bendera ya Tanzania, lengo letu iwe ni kushinda tu.” Ni nasaha iliyotolewa na Rais Dk. John Magufuli alipokutana na kuzungumza na wachezaji wa Taifa Stars wiki mbili zilizopita Ikulu, jijini Dar es Salaam. Ni…