Category: Makala
Falsafa na uhai wa taifa, miaka 19 baada ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere (1)
Baada ya kifo cha hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, tangu Oktoba 14, 1999, mshairi mmoja aliandika hivi: “Hatutamwona mwingine kama Nyerere.” Ni kweli taifa letu halitampata Nyerere mwingine, kwa sababu unapomlinganisha Mwalimu Nyerere na watawala wengine waliokalia…
Ni kama tunasema ‘Mwalimu Nyerere kafe na Mwenge wako’
Nilipozuru Cuba, nilistaajabu kukutana na mambo ambayo sikuyafikiria kabla. Niliposoma habari za Fidel Castro kwenye vyombo vya Magharibi, niliijiwa na picha ya mtu katili, muuaji, mpenda kusifiwa na mjivuni. Nilipofika Havana, nilistaajabu kutoyaona hayo mambo. Sikuona utitiri wa picha za…
Yah: Tunamuadhimisha Mwalimu Nyerere kwa Tanzania hii?
Majuzi tulikuwa tunakumbuka kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, tulikuwa na kumbukizi ya mambo mengi sana juu ya nchi yetu na falsafa yake ya ujamaa na kujitegemea, falsafa ya uhuru ni kazi na haki ya kila raia katika nchi hii,…
Tunaenzi uamuzi wa busara wa Mwl. Nyerere?
“Mwanangu Julius, ualimu na siasa havipatani hata kidogo, fuata oni langu, uache kabisa mambo ya siasa na uzingatie kazi yako ya ualimu.” Kauli hii ilitamkwa na Padri Mkuu wa Shule ya St. Francis’ College, Mwakanga, Pugu (sasa ni Pugu Sekondari,…
NANI KAMA NYERERE?
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Tanzania) Chuo Kikuu cha Ufilipino (Ufilipino) Chuo Kikuu cha Manila (Ufilipino) Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda) Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Tanzania) Chuo Kikuu cha Claremont (Marekani) Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Tanzania)…
Korosho bado ni ‘umiza kichwa’! (4)
Sehemu iliyopita, nilianza kuandika rejea ya makala niliyoiandika miaka 17 iliyopita. Nilisema kule India nako lile shirika la “Cashew Corporation of India” lililonunua korosho zetu zote lilishavunjwa. Hivyo wanunuzi binafsi walikuwa wanajinunulia korosho kiholela kwa viwanda vyao vya kubangulia korosho….
