JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Dodoma yakabiliwa na upungufu wa nyuma

NA EDITHA MAJURA Dodoma Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kuandikwa, amesema wenye uwezo wa kujenga nyumba za kupangisha, kufanya hivyo mkoani Dodoma ili kusaidiana na Serikali kuwapatia  makazi bora watumishi wanaohamia mjini humo. Kuandikwa amesema licha ya…

Mfumo wetu wa elimu haufai

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetoa takwimu tunazopawa kuzitumia kutafakari hatima yetu kama Taifa. Sasa inakadililiwa kuwa idadi ya Watanzania ni milioni 54.2. Mwaka 2021 idadi hiyo itapaa hadi kufikia watu milioni 59. Hili ni ongezeko kubwa. Lakini imebainishwa…

Miaka 61 Uhuru wa Ghana: Tunajifunza?

Hotuba ya rais wa kwanza wa Ghana, Kwame Nkrumah siku ya uhuru wa nchi yake Machi 6, 1957 ilikuwa na ujumbe mmoja mzito: Uhuru wa Ghana hautakuwa na maana yoyote iwapo nchi nyingine za Afrika zitabaki chini ya utawala wa…

‘Bandari ya Dar itumike kuboresha biashara’

DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Wafanyabishara katika soko la Kariakoo wameiomba Serikali kuweka mazingira mazuri yatakayowawezesha kuitumia bandari ya Dar es Salaam kwa ufanisi na kuboresha biashara zao. Wakihojiwa na JAMHURI wiki iliyopita, wafanyabiashara hao wamesema kuwapo kwa mazingira…

‘Wakorea Weusi’ watishia amani Mbeya

Na Thompson Mpanji, Mbeya   KUIBUKA kwa kundi kubwa la vijana wanaofanya uhalifu bila woga huku wakijiamini kutenda makosa ya jinai hata kutishia maisha na mali za wakazi wa Jiji la Mbeya wanaojiita “Wakorea Weusi”, limezidi kutia hofu na kuwalazimisha wananchi walio…

Tukatae kuvaa ‘kafa Ulaya’

  NA MWANDISHI MAALUMU, DAR ES SALAAM Kwenye gazeti la The Citizen la Ijumaa, Februari 16, 2018 kulikuwa na stori ambayo pengine kutokana na hekaheka za uchaguzi wa marudio wa majimbo ya Kinondoni na Siha, watu wengi hawakuipa uzito unaostahili….