Category: Makala
Mama yetu ni mmoja Tanzania
Ndugu Rais na wana wote wa nchi hii mama yetu ni mmoja tu, naye ni mama Tanzania. Nchi yangu kwanza, umoja na mshikamano katika mama huyu ndiyo mwamba wetu. Maandiko yanasema mwenye busara na hekima akitaka kujenga nyumba, hujenga nyumba…
Kipofu amshonea shati Rais Kikwete
Siku ya Jumatatu, saa 6:00 mchana nimeikamilisha safari yangu ya kwenda nyumbani kwa Dk. Abdala Nyangaliyo, anayeishi Mbagala Kibondemaji A, jijini Dar es Salaam Dk. Nyangaliyo ni maarufu na hata cheo cha udaktari amepewa tu kwa heshima, lakini siyo kwamba…
Kuna maisha baada ya maisha
Jumapili Februari 12, 2017 saa 4:00 za usiku nilipokea taarifa kifo cha baba yangu mzazi kutoka kwa kaka yangu mkubwa aitwaye John. Ohooooo!, nilishikwa na butwaa iliyoandamana na huzuni, sikuamini. Moyo wangu haukuamini, akili yangu iliukataa ukweli kuondokewa na baba mzazi,…
Serikali ikiwa mbaya, CCM itakuwaje nzuri?
Vinara wawili, kati ya wale wanaotuhumiwa kuifanya Loliondo isitawalike, wamewatumia wanasheria wao kuniandikia barua wakitaka ‘nisiwaguse’ kwa chochote kinachoendelea Loliondo. Edward Porokwa na Maanda Ngoitiko, wanaamini kwa kuninyamazisha mimi na Gazeti la JAMHURI, ‘sifa na utukufu’ wao katika Loliondo, vitaendelea…
Haya ndiyo mambo madogo unayoweza kuyafanya na yakakuletea manufaa makubwa kwenye afya yako
Mara nyingi tumekuwa tukidharau mambo madogo madogo sana ambayo yapo ndani ya uwezo wetu kuyatekeleza ambayo kupitia hayo, tungeweza kuzinufaisha afya zetu kwa kiasi kikubwa sana na kujiepusha na magonjwa hasa yasiyo ya kuambukiza. Wengi wetu tumejikuta tukipata maradhi mbali…
Ijue teknolojia ya kufundisha kusoma
GraphoGame (GG) au GrafoGemu kwa Kiswahili, ni mchezo unaotumia teknolojia rahisi ambao ulibuniwa na timu ya utafiti ya Chuo Kikuu cha Jyvaskyla cha nchini Finland chini ya usimamizi na uongozi wa Profesa Heikki Lyytinen. Japokuwa mchezo wa GrafoGemu ulianza katika…