JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Watanzania mbona tunalumbana hivi? Tatizo liko wapi?

Kutolewa kwa ripoti ya kwanza ya makinikia kulizua mjadala mkali miongoni mwa Watanzania; kutolewa kwa ripoti ya pili kumemwaga mafuta ya taa kwenye moto uliyowashwa na mjadala uliotangulia. Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi uliofanywa na kamati ya rais iliyoteuliwa…

Ufafanuzi muhimu kuhusu usajili wa Acacia

Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani (local companies) na kampuni za kigeni (foreign companies). Kampuni za ndani ni zile zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata kama wanahisa wake wote…

Ndugu Rais mwenda mwenye busara huongozwa na alikotoka

Ndugu Rais, tangu tulipojipatia Uhuru kutoka kwa wakoloni, zimepita awamu nne. Hii tuliyomo ni awamu ya tano. Kama nchi tumo katika mwendo. Hivyo ni busara kwetu kugeuka na kutazama nyuma kuzichambua zile awamu nne ambazo tumepitia ili tupate kuihukumu awamu…

Maendeleo hayaji kwa kuchekeana

Bajeti Kuu ya Serikali tayari imesomwa bungeni Dodoma. Imesheheni mambo mengi. Wataalamu wa uchumi wamejitokeza kusema waliyoyaona. Wapo wanaopongeza, kadhalika wapo wanaoikosoa. Wakosoaji wanahoji ukubwa wa tarakimu za bajeti hiyo. Wanasema kama iliyopita imeyekelezwa kwa kiwango kisichozidi asilimia 50; kwanini…

Paulo Sozigwa hakustahili kutendewa namna ile (2)

Mzee Sozigwa alikwisha-tekeleza alichoambiwa. Ilikuwa wajibu wa ofisa wa Ikulu kumshughulikia ipasavyo. Kama kweli wahusika wamezi-misplace zile nyaraka humo humo ofisini mwao, basi wao wawajibishwe lakini siyo mzee wa watu alaumiwe na kudaiwa apelike nyaraka hizo. Waingereza wanaita hali hiyo…

Wiki ya Mazingira Butiama yaibua changamoto lukuki

Juni Mosi hadi 4, mwaka huu Serikali iliadhimisha Wiki ya Mazingira Duniani kijijini Butiama ikiwakilishwa na kuongozwa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, ambaye ofisi yake ndiyo ina jukumu la kusimamia masuala ya mazingira nchini. Ni wiki iliyosheheni…