JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Bila kupitiwa mikataba …

Pamoja na kumpongeza Rais John Magufuli kwa uthubutu na uzalendo wake kwa Watanzania anaofanya katika maeneo mbalimbali, bila kupitiwa upya kwa mikataba yote bado hatutakuwa na jipya. Hali ya umaskini wa Watanzania baada ya utawala wa awamu ya kwanza imechangiwa…

Ndugu Rais ‘walidhani nitakuwa nao’ tumaini lililorejea

Ndugu Rais, kama kuna wakati uligusa mioyo ya Watanzania na hasa masikini, ni pale uliposema, “Walidhani nitakuwa pamoja nao!” Kama hii ilikuwa ni ahadi, basi ni ahadi iliyotoka juu! Nina hakika hii haimo katika ilani ya chama chako. Kwa ahadi…

Yah: Nayaona mabadiliko yajayo kwa kasi isiyotarajiwa

Kuna wakati niliwahi kuandika katika waraka wangu kwamba kuna mabadiliko makubwa yajayo ambayo nayaona njozini, nilisema nikijihami kwamba labda ipo siku yanaweza kukwama, mkwamo ambao ungesababishwa na kusita kwa baadhi ya watu katika kutekeleza azma ya pamoja kukubaliana na kaulimbiu…

Madini ya Tanzania ni mali ya nani?

Nimepata kumsikia kiongozi mmoja wa siasa nchini akisema kuwa yanayotekelezwa na Rais John Pombe Magufuli kuhusu kudhibiti wizi na utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi, ni msimamo wake na ni ajenda ya chama chake cha siasa, ingawa chama chake…

Walijaribu ushoga wakafeli, wamegeukia mimba za wanafunzi

Rais John Magufuli ameutolea uamuzi mjadala wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaopata mimba. Rais Magufuli, akiwahutubia wananchi mkoani Pwani, amesema bayana kuwa hayuko tayari kuona wanafunzi wanaotiwa mimba wakiendelea na masomo katika shule za Serikali. Akayaambia mashirika…

Waziri Mwigulu unasubiri nini?

Kwanza nianze kwa kumsalimia kaka na rafiki yangu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. Salamu hizi ni salamu za dhati kutokana na malezi niliyopewa na walezi wangu. Shikamoo Mheshimiwa Waziri. Mwigulu ni kaka na rafiki yangu. Mtanzania…