Category: Makala
Yah: Uhuishaji wa majukumu yetu Watanzania bado tuna safari ndefu
Nianze waraka wangu kwa kuwapongeza wale wachache, ambao kimsingi wanakubaliana na mabadiliko ya kazi kila siku japokuwa nao ni kama kumkunja samaki aliyeanza kukauka, kuna siku wanaweza kuvunjika wakiwa katika jitihada za kujikunja. Nchi yetu ipo katika kipindi kigumu cha…
Afrika tunaibiwa sana, tena sana
Taarifa iliyotolewa hivi karibuni na shirika lisilo la kiserikali la Global Justice Now inaeleza jinsi gani Bara la Afrika linavyoibiwa rasilimali zake. Ripoti hiyo, inayoitwa Honest Accounts 2017, inaeleza kuwa kwa mwaka 2015 mali na pesa za thamani ya dola…
Ndugu Rais watoto wasiandaliwe vitabu-sumu vingine
Ndugu Rais, Watanzania wanapaswa kumshukuru Mungu kumpata rais anayethubutu. Katika kipindi kifupi umegusa mambo mengi yenye uzito mkubwa ambao wenzako wasingethubutu! Hata kama hutafanikisha, lakini historia itasema huyu alithubutu! Kwa makaburi uliokwishafukua mpaka sasa, nani mwingine angeweza? Wakati unaendelea na…
Wakati wa vijana kugeukia kilimo
Serikali imeombwa kujenga mfumo mzuri utakaowawezesha vijana kujiunga katika vikundi vya uzalishaji ili wawe na uwezo wa kukopesheka katika taasisi zinazotoa mikopo na kujiajiri katika miradi ya kilimo. Akizungumza na JAMHURI Mkuu wa kitengo cha utafiti wa taasisi ya Well…
Walivyosema kuhusu Paulo Sozigwa
Baada ya kusomwa makala zangu, watu wengi wameniletea ujumbe kwa simu ya kiganja na kwa ujumbe mfupi wa maandishi (sms). Kwa vile niko wodini hoi hapa Lugalo sikuruhusiwa kuongea na simu ila mjukuu wangu Max Mchola alikuwa ananiarifu nani kanipigia…
Tumuunge mkono Waziri Mkuu Majaliwa
Akiahirisha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julai 5, mwaka huu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, pamoja na mambo mengine, alizungumzia sekta ya wanyamapori. Kwa wahifadhi wengi, kauli ya Waziri Mkuu imewapa matumaini mapya…