Category: Makala
Sheria imeruhusu kudai zawadi uchumba unapovunjika
Una mahusiano na mwanaume au mwanamke ambaye kimsingi mpo katika uchumba. Unampa zawadi nyingi naye anakupa zawadi. Mnayo ahadi ya kufunga ndoa na kuishi kama mume na mke. Na kwa sababu hiyo, unajitoa sana kimatumizi kwa mtu huyo. Lakini katika…
Mwalimu Nyerere niliyemjua (4)
3.7: Nyerere na huduma za Jamii. Ukuu wa Uzalendo,Uadilifu na Utaifawa Julius K. Nyerere pia unajidhihilisha katika eneo la huduma za jamii – Afya, elimu na maji. Kupitia hotuba yake aliyoitoa Bungeni tarehe 29 Julai, 1985, kuhusu elimu na afya;…
Ni muhimu sana kujali tunavyoyatekeleza malengo yetu
Ndugu Rais, haiwezekani kila jambo linalofanywa na Serikali liwe ni jambo baya au halifai! Kwamba Serikali isiwe hata na jema moja inalolifanya? Haiwezekani! Swali muhimu hapa ni kwanini Serikali wakati mwingine inajifikisha mahali mpaka kuonekana hivyo kwa baadhi ya wananchi?…
Nakutambua, nitambue (2)
Wiki iliyopita, nilitaja thumni ya mali na rasilimali zote nilizonazo juu na chini ya ardhi na baharini. Utajiri huo mkubwa unanipa hadhi na heshima ya kukimbiliwa na majirani na marafiki zangu. Si kufuata mali tu, bali pia kufuata maongezi, ucheshi,…
Yah: Kasi ya hapa kazi tu bajeti zinasomwa kila mwezi ndani ya familia
Watu wengi wanasifu kasi ya kaulimbiu ya Serikali ya Awamu ya Tano ya ‘hapa kazi tu’, na kweli inaonekana kuna kazi inafanyika, matokeo chanya yanaonekana dhahiri bila shayiri na kwamba kwa kasi hii baada ya miaka mitano kutakuwa na kitu…
Sozigwa kafariki akidai mafao
Buriani Paulo Sozigwa, umetangulia mbele ya haki bila kupata mafao yako ambayo umeyadai kwa miongo kadhaa. Sozigwa amefariki Ijumaa ya wiki iliyopita, jijini Dar es Salaam. Paul sozigwa amefariki dunia Ijumaa ya wiki iliyopita, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya…