JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Kasi ya hapa kazi tu bajeti zinasomwa kila mwezi ndani ya familia

Watu wengi wanasifu kasi ya kaulimbiu ya Serikali ya Awamu ya Tano ya ‘hapa kazi tu’, na kweli inaonekana kuna kazi inafanyika, matokeo chanya yanaonekana dhahiri bila shayiri na kwamba kwa kasi hii baada ya miaka mitano kutakuwa na kitu…

Sozigwa kafariki akidai mafao

Buriani Paulo Sozigwa, umetangulia mbele ya haki bila kupata mafao yako ambayo umeyadai kwa miongo kadhaa. Sozigwa amefariki Ijumaa ya wiki iliyopita, jijini Dar es Salaam. Paul sozigwa amefariki dunia Ijumaa ya wiki iliyopita, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya…

Mfumo wa kuwapata wabunge EALA haufai

Tumewapata Watanzania kenda ambao kwa miaka mitano ijayo watatuwakilisha kwenye Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Waliochaguliwa ni Fancy Nkuhi (CCM), Happiness Legiko (CCM), Maryamu Ussi Yahya (CCM), Dk. Abdullah Makame (CCM), Dk. Ngwaru Maghembe (CCM), Adam Kimbisa (CCM), Habib Mnyaa…

Tujifunze kutunza muda

Faraja ya Raph W. Sockman inasema, “Msingi wetu wa matumaini ni kwamba, daima Mungu hamchoki mwanadamu.” Katika makala ya leo nitazungumzia matumizi ya muda na vikwazo mwanadamu anavyokumbana navyo katika safari yake ya maisha. Ninaomba kukuuliza swali hili: Kama leo…

Hivi hadi leo hatujamwelewa Magufuli?

Kwanza naomba nitumie fursa hii kuungana na wazazi, ndugu, jamaa na Watanzania wote kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na watoto wetu – wanafunzi wa Shule ya Lucky Vicent ya jijini Arusha – katika ajali iliyotokea Karatu. Taarifa ya awali iliyotolewa…

Nakutambua, nitambue

Jina langu ni Nani. Umri wangu ni zaidi ya karne ishirini na moja. Nimeumbwa kwa udongo na maji. Ninaye ndugu yangu, majirani na marafiki. Nimejaaliwa kupata watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe. Niko ulimwenguni. Nimekula chumvi nyingi na kuona mambo mengi….