Category: Makala
Yah. Kazi ni utu, kaulimbiu iliyotuchoma sana ujanani
Thamani ya binadamu yeyote inabebwa na dhana ya utu alionao, na utu wa muungwana yeyote ni kufanya kazi kama kipimo cha utu wake. Wapo wanaofanya kazi zisizo rasmi lakini zinawaingizia kipato na wapo wanaofanya kazi rasmi na haiwaingizii kipato, thamani…
Madereva wa bodaboda kujitambua, ni heko
Natoa kongole kwa madereva wa bodaboda wa kituo cha Mbuyuni, Tegeta, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, kwa uamuzi wao wa kudhibitiana na kupangiana utaratibu mzuri kutii na kufuata Sheria za Usalama Barabarani, kama walivyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya…
Vita dawa za kulevya si ndogo
Nakubaliana na kauli ya viongozi, ikiwa ni pamoja na ya Rais John Magufuli, kuwa vita dhidi ya dawa za kulevya si jambo dogo. Alitamka: “Hii ni vita kubwa na siyo suala la mzaha. Ni lazima tuisimamie kwa nguvu zote.” Ni…
Mwenye nyumba ana hatia ikiwa mpangaji anahusika na dawa za kulevya
Wenye nyumba hawako salama ikiwa wapangaji wao ni wahusika wa dawa za kulevya. Ni muhimu kulijua hili ili kujihadhari na kile kinachoweza kukuletea madhara. Sheria mpya ya kupambana na kuzuia dawa za kulevya – ‘The Drug Control and Enforcement Act,…
Mgogoro wa Israel na Palestina -7
Wiki iliyopita katika sehemu ya sita tulishuhudia mchango wa Uingereza katika mgogoro wa Israel na Palestina. Leo, tunakuletea sehemu ya saba ya makala hii inayosimulia mgogoro huo. Endelea… Norman Benwitch, Muyahudi-Mzayuni ambaye alishika wadhifa kwa muda mrefu katika ofisi…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 33
Taratibu za kupata hati ngumu Mwaka 1979 Dar es Salaam ilikuwa na maeneo 80 ya wazi kwenye Master Plan. Maeneo haya yalikuwa kwa manufaa ya umma – viwanja vya michezo, burudani, shule, masoko, zahanati na kadhalika. Hivi sasa maeneo hao…