Category: Makala
Yah: Awamu ya Trump imeanza, wataisoma namba kama sisi
Leo hii ukimuuliza Mtanzania yeyote atakwambia anasoma namba ambayo haijui, dhana ya kusoma namba imekuja kipindi ambacho Rais wa awamu ya tano Tanzania alipoingia madarakani na kauli mbiu ya hapa kazi tu. Leo hii nchini Marekani kuna waka moto, kuna…
Umuhimu wa misingi mitatu ya udugu
“Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja” Hii ni ahadi ya kwanza ya mwana- TANU, kati ya kumi ambazo alizitii na kuzitimiza enzi za uanachama wake. Ukweli ahadi tisa zote zimebeba neno zuri na tamu katika kulitamka, nalo…
Mgogoro wa Israel na Palestina -5
Wiki iliyopita makala hii iliishia kwa kueleza kuwa Palestina si makazi ya kihistoria ya Wayahudi. Mnamo 1920 baada ya suala la udhamini wa Uingereza kwa Palestina lilipojadiliwa na Bunge- The House of Lords, Lord Sydenham alitamka… Endelea. “Naeleza kwa…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 31
Ardhi ni kichomi ARDHI 601. Tanzania ina eneo la Kilomita za mraba 942,000. Kati ya hizo kilomita za mraba 888,578 ni eneo la ardhi. Idadi ya watu kwa kilomita ni ndogo isipokuwa kwa maeneo machache kama Wilaya za Ukerewe, Rungwe,…
Loliondo yawagonganisha Gambo, Nasha
Ukweli na uongo havikai pamoja kama ilivyo nuru na giza. Tumeyasema na kuyaandika mengi kuhusu Pori Tengefu Loliondo. Bahati nzuri wasomaji hawajachoka kuyasoma; na tunaendelea kuwaomba msichoke. Mapambano ya kulinda uhai wa Loliondo yanachochewa na ukweli kuwa bila kuwapo kwa…
Hotuba ya Rais Magufuli Mkoani Simiyu (2)
Ombi langu la tatu, ni kwa watumiaji wote tujiepushe na matumizi mabaya ya kwenye barabara ikiwa ni pamoja na kumwaga oil, kuchimba michanga kwenye madaraja, kung’oa alama za barabarani, hasa sisi ndugu zangu Wasukuma na mimi ni Msukuma, zile alama…