JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Boris: Waziri mwenye kauli tata

Siku chache baada ya Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Theresa May, kutangaza Baraza jipya la Mawaziri, amewaacha watu wengi na mshangao kwa kumteua Boris Johson kuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Ikumbukwe kuwa Johnson ndiye aliyekuwa kiongozi wa kampeni kuelekea…

Rais Magufuli mnusuru Mtanzania huyu

Hamis Wendo Mwinyipembe, mkazi wa Kijiji cha Gombero, Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga ni miongoni mwa wananchi wengi walioonja suluba ya kunyanyaswa na vyombo vya dola pengine kwa kukosa uelewa wa sheria ama kufanyiwa vitendo hivyo kwa makusudi na wahusika….

Ndugu Rais tufanyie nchi mapya!

Ndugu Rais, maandiko yanasema, nautamani mji mpya. Mji ule ambao chochote kinyonge hakitaingia. Nao utafanana na Yerusalem mpya. Nami naitamani nchi mpya. Nchi ambayo manyang’au na wanaofifisha haki za raia hawatakuwamo. Nayo ndiyo Tanzania mpya ninayoitamani! Hakuna mwingine kwa sasa,…

Vijana wetu wote ni wanasiasa

Kuna habari kwamba vijana 2,000 wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) walikuwa wanafanya juu chini kuzuia Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma usifanyike. Hii ni baada ya vijana hao wa Bavicha kuona kwamba wakati mikutano ya siasa imepigwa marufuku kambi…

Tusisahau historia hii (3)

Sehemu ya pili ya makala hii, mwanishi alisema huko Ulaya kuna kasoro chungu nzima. Nchi zao katika Umoja wa Ulaya (EU) bado kuna mitazamo tofauti na ya kibinafsi na ndiyo sababu Uingereza imefanya kura ya maoni ya kujitoa katika Umoja…

Waziri Mkuu iokoe Loliondo

Aprili 2013, kupitia safu hii, niliandika makala ndefu iliyosema: “Bila kudhibiti NGOs, Loliondo haitatulia”. Makala hiyo ipo kwenye mitandao mbalimbali. Kuandika masuala ya Loliondo kunahitaji ujasiri. Mosi, lazima mwandishi akubali kutukanwa. Sharti awe tayari kutishiwa maisha kwa sababu maandiko yake…