JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Kuporomoka maadili nini chanzo? (2)

Wazazi wengi wanaishia tu kwenye hatua ya kuzaa, hawaendelei na hatua ya kulea. Hapo tulio wengi tunachemka. Methali ya Kiswahili yatuambia hivi; ‘Kulea mimba si kazi, kazi ni kulea mwana’.  Wapo wazazi wanaojiita ni wazazi lakini hawatambui wajibu wao kama…

Ndugu Rais, tutakuombea utakapokuwa tayari!

Ndugu Rais, vitabu vyote vitakatifu vimeandika habari za Nabii Musa. Mwenyezi Mungu alipomwita kwenye kichaka kilichokuwa kikiwaka moto alimwambia: “Musa, hapo ulipo ni mahali patakatifu, vua viatu vyako!” Mafundisho ni mengi kutokana na tukio hilo, lakini hapa pia tunafundishwa kuwa…

Mfanyabiashara amlalamikia DC Tunduru

Mfanyabiashara Steven Buhanza anailalamikia Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, kwa kile anachodai imeuza shehena ya mbao zake ilhali kesi ikiwa haijatolewa uamuzi. Buhanza, mmiliki wa Kampuni ya Ntiyonza Company Limited ya Dar es Salaam, alikamatwa Oktoba 30, 2012…

Ndugu Rais, Tumekusikia sasa na wewe tusikilize

Ndugu Rais, kuna watu hapa nchini kazi yao ni kukosoa tu! Hata pale jambo jema linapofanyika badala angalau wakae kimya wao watatafuta namna tu mpaka wakosoe. Hata hivyo, wabaya wa mtu siyo wanaomkosoa kwa sababu hawambomoi, bali wanamjenga zaidi kuliko…

Kuporomoka kwa maadili nini chanzo?

Nimesukumwa kuandika makala hii kutokana na ukweli kwamba hatuwezi kujenga taifa lenye maadili mema pasipokuwa na familia zenye maadili mema. Ustawi wa taifa unaanzia nyumbani. Kinyume chake ni kuporomoka kwa taifa kunakoanzia nyumbani. Uhai wa taifa unategemea uhai wa familia….

Mwafrika bado “Le Grande Enfante” (2)

Ghafla juzi juzi wakati Waziri Mkuu keshatoa hotuba yake kuomba fedha kwa ofisi yake, nikashtuka kusikia kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, badala ya kutoa hotuba mbadala wa ile ya Waziri Mkuu, eti ameongea kwa dakika chache tu…