Category: Makala
Wabunge na ulimi wa pilipili
Wasia nnautoa, baba alivyonambia. Nieleze sawa sawa, nanyi mpate sikia. Wa kwaonya enyi sawa, inafaa kusogea. Jambo la kwanza kasema, majivuno hayafai Muovu mtendee wema, japo mtu humnunui Mjivuno ni hasama, yanaleta uwadui. Dini ni jambo la pili, baba alivyonambia,…
Yah: Heshima itarudi, wanaoweweseka ni wale wachache, wezi
Kwanza nianze kwa kupongeza juhudi kubwa inayofanywa na viongozi wachache wenye moyo wa uzalendo na Taifa hili, pili niwapongeze Watanzania wengi ambao mnaunga mkono juhudi hizo pasi na kununuliwa na watu wachache, ambao wao walidhani nchi hii ni yao na…
Wajasiriamali na uwezo wa kupunguza rushwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ziara nchini Uingereza hivi karibuni kuhudhuria mkutano wa viongozi wa dunia kujadili tatizo la rushwa. Tatizo la rushwa lipo katika kila pembe ya dunia na ni mojawapo ya matatizo ambayo Serikali ya Rais John Magufuli…
Kanisa la Wasabato linapodhulumu …
Mimi Baraka Mukundi, mkazi wa Arusha niliajiriwa na Kanisa la Wasabato Makao Makuu Arusha, Tanzania mwaka 1986. Niliendelea kufanya kazi na kanisa hilo katika vitengo vyake mbalimbali kwa kadri walivyokuwa wakinipangia kazi kulingana na taratibu za Kanisa za ajira. Kipindi…
Ndungu Rais tutengenezee Rais mwingine
Ndugu Rais, imeandikwa kuwa mwenye busara akiamua kujenga nyumba, kabla hajafanya chochote, hukaa chini, akachukua kalamu na karatasi na kupiga hesabu! Naye akishapata gharama kamili ndipo huanza ujenzi. Kazi ya ujenzi na kuistawisha nchi haina tofauti na ujenzi wa nyumba….
Sasa si ukwepaji kodi tena, bali ni ukwapuaji kodi
Hatimaye Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amewasilisha kiwango na ukomo wa bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017. Waziri ameliambia Bunge kuwa mwaka ujao wa fedha zitatumika Sh trilion 29.53. Kati ya fedha hizo,…