Category: Makala
Mpango wa Taifa wa kuchochea ukuaji viwanda
Lengo la kufikia uchumi wa kujitegemea imekuwa ni dhamira ya Tanzania kwa muda mrefu. Hatua mbalimbali za kimaendeleo zimekuwa zikichukuliwa ili kufikia azma hiyo. Ili kufikia azma hiyo, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 imebainisha malengo matatu ambayo ni kuwaletea…
Tuendeleze demokrasia (2)
Hayo ndiyo yaliyoongolewa pale Dodoma na mengi mengineyo ndiyo yalitokea wakati ule hali ya hewa ilipochafuka huko Visiwani. Hali ile ilisababisha Mzee wetu Jumbe ajiuzulu uongozi; akaacha Urais wa Zanzibar, akaacha umakamu wa Rais wa Jamhuri na akaacha umakamu wa…
Mheshimiwa Rais Dk. John Magufuli, msaidie askari huyu
Gazeti la JAMHURI limepokea barua ya malalamiko ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Joseph D. Bundara (JB/MT 80304PTE), aliyomwandikia Rais ili asaidiwe kupata haki yake. Hii ndiyo barua aliyomwandika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Ni vyema Serikali ikajitazama upya
Mwanzoni mwa mwaka jana wakati Watanzania walipokuwa wakisubiri uchaguzi, baadhi ya watu walizungumzia sifa za Rais Watanzania waliokuwa wakimuhitaji. Sifa ya kwanza iliyotajwa ni kuwa Watanzania walikuwa wanamuhitaji Rais dikteta yaani mwamrishaji. Waliotoa maoni hayo walidai kuwa nchi imefikia mahali…
ATC wapewe mkataba wa Swissport
Air Tanzania ndilo Shirika la Ndege la Taifa (national flag carrier) ambalo linastahili kumiliki huduma zote muhimu katika Viwanja vya Ndege vyote vya Tanzania, lakini hali iko kinyume. Huduma zinazotolewa katika viwanja vya ndege ni pamoja na miziggo (Cargo handling),…
Majangili yateketeza Hifadhi
Athari za kupunguza maeneo ya Hifadhi Mchanganuo wa faida za maeneo yaliyohifadhiwa na zile za ufugaji yanaonesha wazi kuwa hifadhi ya maliasili ni sekta muhimu, pana na mtambuka. Sekta hii ndio msingi wa kuwapo kwa maendeleo ya sekta nyingine nyingi…