Category: Makala
Penye titi pana titi
Pokea salamu za upendo na heri ya mwaka mpya 2016, wewe msomaji wa gazeti JAMHURI na safu ya FASIHI FASAHA. Pili, naomba radhi kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu uliikosa safu hii kutokana na mimi mwandishi kufanyiwa operesheni ya…
Yah: Ni Tanzania tu mzawa anaponyanyaswa na mgeni
Sasa hivi naitafuta Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – iwe ile ya zamani au hata hii mpya – ambayo haijapigiwa kura na kupitishwa na Watanzania. Tanzania ni moja kati ya mataifa yaliyokuwa na heshima sana kwa raia wake…
Yah: Ni Tanzania tu mzawa anaponyanyaswa na mgeni
Sasa hivi naitafuta Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – iwe ile ya zamani au hata hii mpya – ambayo haijapigiwa kura na kupitishwa na Watanzania. Tanzania ni moja kati ya mataifa yaliyokuwa na heshima sana kwa raia wake…
Polisi wanatumiwa vibaya
Kumekuwa na matukio mbalimbali ambayo Polisi wametumiwa vibaya na Serikali, taasisi na watu wengine. Hali hii imetufikisha mahali ambako ile kauli ya siku nyingi kwamba polisi ni usalama wa raia inaonekana haina maana tena. Tumeshuhudia wakati wote polisi wakizuia maandamano…
SSRA yaisemea mifuko ya jamii
Baada ya Gazeti JAMHURI kuchapisha taarifa za kiuchunguzi za mifuko ya hifadhi ya jamii nchini kuwa katika hali mbaya kifedha kutokana na deni kubwa linaloikabili kwa Serikali kushindwa kulipa madeni yake, hali inayoifanya baadhi ya mifuko kushindwa kulipa mafao kwa…
Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli Siku ya Sheria Februari 4, 2016
Mheshimiwa Jaji Mkuu, nafikiri utaungana na mimi mara baada ya hotuba hizi ambazo zilitangulia inawezekana ikaniwia vigumu sana kutafuta maneno mengine ya kuweza kuzungumza. Lakini niseme tu kwa dhati Mheshimiwa Jaji Mkuu, nimefurahi sana kunikaribisha, ili nije nishiriki na ninyi…