JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Siku 100 Wizara mbili zilikuwa wapi?

Majuzi Rais Dk. John Pombe Magufuli alitimiza siku 100 tangu alipoingia madarakani Novemba 5, mwaka jana. Watu wengi wamejitahidi kuchambua utendaji wa Rais Magufuli katika siku hizo 100. Ingawa hawakukosekana watu waliomkosoa, wengi wamesifu utendaji wake katika kipindi hiki. Karibu…

Rais Magufuli na maslahi mapana ya Taifa (1)

Kwa rehema na mapenzi yake Mwenyezi Mungu, Tanzania ilikamilisha Uchaguzi Mkuu tarehe 25 Oktoba 2015 kwa kumpata Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani. Kwa upande mwingine, uchaguzi huo haukwenda vizuri kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi…

Tumejitoa sadaka kwa Watanzania-Magufuli

Hotuba ya Rais John Magufuli kwa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam aliyotoa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam mnamo Februari 13, 2016.   Sitajisikia vizuri kama sitasema, shikamoni, Waheshimiwa viongozi wote mliohudhuria hapa na itifaki imezingatiwa…

Kwanini mazungumzo ya amani Syria yameshidikana

H atimaye mazungumzo ya amani kuhusu Syria yaliyokuwa yakifanyika jijini Geneva yamesitishwa bila mafanikio. Msuluhishi kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Staffan de Mistura kuanzia Januari 31, mwaka huu alikutana na pande zinazopigana – upande wa serikali ya Rais Bashar Assad…

Tupunguze kulalamika

Bunge hili la kitaifa linajulikana kama Bunge la 11 (eti mimi nalihesabu kama Bunge la 12, kadiri ya kumbukumbu zangu, nilivyoonesha kwa miaka). Ni Bunge la wasomi na ni Bunge la mkato (cross-cutting Parliament) kwa kuwa limejumuisha wabunge wa rika…

Penye titi pana titi

Pokea salamu za upendo na heri ya mwaka mpya 2016, wewe msomaji wa gazeti JAMHURI na safu ya FASIHI FASAHA. Pili, naomba radhi kwa kipindi cha mwezi mmoja na nusu uliikosa safu hii kutokana na mimi mwandishi kufanyiwa operesheni ya…