Category: Makala
Tusisukumwe na hoja za kisiasa kujitoa EAC
Katika dunia yetu ya leo ya utandawazi, suala la nchi yoyote duniani kubaki kama kisiwa halipo kabisa. Maendeleo katika teknologia ya mawasiliano yameifanya dunia yetu igeuke kuwa kijiji kimoja.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -3
FIKRA YA HEKIMA
Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu
Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (5)
Huu ni mtiririko wa maandishi yaliyomo kwenye kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania kilichoandikwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Sehemu iliyopita, Mwalimu alisema, “Ni vigumu kuelewa kwa nini watu walio tayari kuwabebesha wananchi mzigo wa SeIikali tatu za kudumu, wanahofu gharama za kura ya maoni ya mara moja! Na kama viongozi wetu ni wapumbavu kiasi cha kwamba hawawezi kutunga swali “Je, unataka Serikali tatu?” Au “Je, unataka Serikali ya Tanganyika?” Kazi hiyo wangeweza kuwaachia wataalamu wenye uwezo zaidi.” Endelea…..
Kwa kutambua kwamba Bunge linafanya uamuzi yake kwa njia ya kura baada ya mijadala ya wazi, Serikali iliona kwamba hoja yoyote kati ya hizi ingewasilishwa bungeni, ingeweza kuligawa Bunge, kukigawa chama chetu na kuwagawa wananchi katika suala zito kama hili la Muundo wa Muungano.
Serikali sikivu inafitiniana, inafitinika
Utawala wa Serikali sikivu chini ya chama tawala unaendelea kuwadhihirishia Watanzania kuwa umefitinika na sasa kila kiongozi anadunda na lake na kauli zake na maagizo yake, bila kujali kuwa uamuzi wao kwa upande mwingine unawaumiza Watanzania ambao kila siku wamekuwa wanasifiwa kuwa Serikali yao sikivu inawasikia.
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
Habari mpya
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara
- Serikali yatoa ufafanuzi uteuzi wa mbunge Angela Kizigha
- Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa
- Makonda asimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania
- Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
- Samia azindua minara 758, maunganisho ya mkongo wa mawasiliano
- Rais Samia akiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa minara 758 Dodoma
- Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
- Spika Zungu awahimiza wabunge kuachana na karatasi, wahamie mfumo wa kidigitali
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Africa
- Ofisi za Gazeti la Pambazuko zavunjwa na kuibwa nyaraka muhimu
- Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
- Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
- Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera