JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Nchi haiendelei bila viwanda vya kisasa

“Maana ya maendeleo ya leo ya uchumi wenye nguvu ni maendeleo ya viwanda. Nchi yenye viwanda tunasema ni nchi iliyoendelea. Hata hivyo, tuna maana nyingine ya nchi zilizoendelea ya kuziita ni nchi zenye viwanda. Nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na viwanda vya kisasa.

FIKRA YA HEKIMA

Kampuni za simu za mkononi  zinaiba umeme, hatutapona

Wakati Wizara ya Nishati na Madini ikiwaaga vijana 10 wazawa wanaokwenda China kusomea shahada ya uzamili kuhusu fani ya mafuta na gesi wiki iliyopita, Shirika la Taifa la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kubaini wizi wa nishati ya umeme kwenye minara ya kampuni za simu za kiganjani.

KONA YA AFYA

Vidonda vya tumbo na hatari zake (11)

Katika sehemu ya kumi, Dk. Khamis Zephania alifafanua maumivu ya vidonda vya tumbo, tofauti ya vidonda hivyo na vile vya duodeni, sababu za kutosagika kwa chakula na mtu kupungua uzito. Sasa endelea…

BARUA ZA WASOMAJi

Polisi Biharamulo wanatumaliza

Kwa kawaida tunajua kuwa mtu akiwa mikononi mwa askari polisi atakuwa yuko kwenye usalama, lakini huku wilayani Biharamulo, Kagera hilo halipo.

BARUA ZA WASOMAJi

Polisi Biharamulo wanatumaliza

Kwa kawaida tunajua kuwa mtu akiwa mikononi mwa askari polisi atakuwa yuko kwenye usalama, lakini huku wilayani Biharamulo, Kagera hilo halipo.

Vilivyobakia ardhi na watu

Siku zilizopita katika Safu hii, niliwahi kuzungumzia Azimio la Arusha, dira iliyoaminika ingewapeleka na kuwafikisha Watanzania kwenye Ujamaa kamili chini ya Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.