Category: Makala
Mkombozi wako kiuchumi ni wewe
Wiki iliyopita niliandika makala kuhusu fikra zinavyoweza kukukomboa kiuchumi. Katika makala yale nilieleza kuwa ili kufanikiwa kibiashara na kiajira tunahitaji hamasa kuliko hata kubadilisha siasa zinazotawala na Katiba mpya. Nilisema mtu namba moja wa kuukomboa uchumi wako ni wewe mwenyewe.
NUKUU ZA WIKI
Julius Nyerere: Hatuwezi kuthibitisha wanaotusaidia
“Tunatambua kuna uwezekano kwamba hao wanaotusaidia wanaweza kuwa na nia tofauti. Hivi ndivyo tunaambiwa na hatuna uthibitisho kwamba haiko hivyo. Lakini tuna ushahidi wa mahitaji yetu na misaada ya vitendo.
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Alizaliwa Aprili 13, 1922 kijijini Butiama, Mara. Alifariki Oktoba 14, 1999 nchini Uingereza.
Ustawi wako kiuchumi unategemea fikra yako
Watanzania (na wanadamu wengine duniani kote) nyakati hizi; tunaishi kwenye zama zenye misongo mikubwa ya kimaisha; kubwa likiwa ni tatizo la kiuchumi.
Utajiri wa Loliondo na laana yake (Hitimisho)
Sehemu iliyopita, Mwandishi Wetu alieleza Kamati iliyoundwa na CCM kuchunguza mgogoro wa Loliondo. Sehemu hii ya nne na ya mwisho, anaeleza ubatili wa Kamati ya Nchemba. Endelea…
JAMHURI YA WAUNGWANA
Mawazo yametuama kwenye bodaboda
Tanzania haikosi mambo yanayoibua mijadala. Tukimaliza moja, lazima litaibuka jingine. Tumekuwa Taifa la mijadala ambayo mingi haina tija.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (6)
Katika sehemu ya tano ya makala haya yanayoelezea vidonda vya tumbo na hatari zake, Dk. Khamis Zephania, pamoja na mambo mengine alizungumzia maisha na kazi ya kiumbe kinachofahamika kama H. Pylori ambacho huishi ndani ya tumbo la binadamu. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya sita…