Category: Makala
Wanasiasa mmewasaidiaje wakulima wa pamba?
Msimu wa zao la pamba unakaribia kuanza, huku hali ya ubora na uzalishaji wake hapa Tanzania ukiwa hauridhishi. Kilimo cha Mkataba bado hakijafanya kazi.
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
Habari mpya
- Rais Dk Samia amuapisha mwanasheria mkuu Hamza Johari
- Hali ya amani na utulivu yarejea , Serikali yawakaribisha wageni
- Wabunge wateule waitwa bungeni Dodoma
- Nchimbi aombewa na Dkt Mpango, aahidi kuendeleza mchango wake
- Rais Dk Samia akabidhiwa nyaraka
- Khamis Mgeja ameacha historia ya ujasiri, uzalendo
- Wananchi Stand ya zamani Kondoa mjini wakishiriki upigaji kura
- RC Kagera apiga kura, awahakikishia usalama wananchi
- Balozi Dkt. Nchimbi ashiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Rais, mbunge na diwani
- Waziri Ndumbaro apiga kura, apongeza utulivu na amani
- Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani
- Dkt. Mpango ashiriki zoezi la kupiga kura
- TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kwa baadhi ya mikoa
- Dk Samia : Serikali imefanya mageuzi makubwa ya kisheria na kurejesha imani kwa sekta binafsi
- Serikali yaihakikishia CWP uchaguzi huru, haki na wazi