Category: Makala
Maisha ya mjasiriamali baada ya kustaafu
Wiki iliyopita nilifika katika mmoja ya mifuko ya pesheni kujiandikisha kwa ajili ya utaratibu wa kujiwekea akiba kwa mpango wa kuchangia kwa hiari. Baada ya kutoka katika ofisi za mfuko huo wa pesheni nikiwa na fomu na makabrasha mengi, nikakutana na mtu mmoja ambaye maongezi kati yangu na yeye ndiyo yaliyonisukuma kuandika makala haya.
Wanasiasa mmewasaidiaje wakulima wa pamba?
Msimu wa zao la pamba unakaribia kuanza, huku hali ya ubora na uzalishaji wake hapa Tanzania ukiwa hauridhishi. Kilimo cha Mkataba bado hakijafanya kazi.
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
- Waziri Simbachawane ateta na askofu Dk Bagonza
- Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi
- Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
- Makamu wa Rais awasili Uganda – kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Maziwa Makuu
Habari mpya
- Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
- Waziri Simbachawane ateta na askofu Dk Bagonza
- Dk Mwingulu aweka jiwe la msinhgi ujenzi wa Kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam Mkoa Lindi
- Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
- Makamu wa Rais awasili Uganda – kushiriki mkutano wa Jumuiya ya Maziwa Makuu
- Waziri Mkuu akagua ujenzi wa shule mpya ya msingi Likong’o
- Dk Akwilapo : Ingieni katika dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu
- DC Mpogolo amewataka madiwani Ilala kushirikiana na wenyeviti wa mitaa
- Kwa heri John Sabi Nzuryo, tutaonana baadae
- Livembe: Mchakato wa uchaguzi ulikuwa wa haki na halali
- Simbachawane- Vitambulisho vya NIDA kuunganishwa na huduma nyingine
- Pwani yaweka mkakati kuacha tabasamu kwa wananchi ndani ya siku 100 za rais
- Tanzania na Uturuki kuimarisha uwezeshaji wa vijana na wanawake
- Mabalozi wa Utalii waahidi kuulinda Ushoroba wa Kwakuchinja
- Wizara ya Viwanda na biashara yapania kuanzisha kongani