Category: Makala
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
Habari mpya
- Kikwete : CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo
- Bei elekezi ya madini ya vito kuchochea ukuaji uchumi – CPA Kasiki
- Viongozi wa dini Kanda ya Magharibi waazimia kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
- Dkt. Samia apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa DRC
- Oktoba 29 ni siku ya mapumnziko
- Samia: Vijana tulizeni munkari, msidanganywe
- Tanzania yapata nafasi za ajira 50,000 nje ya nchi
- Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani
- Maafisa Maendeleo ya Jamii Wanawake Songwe wakabidhiwa pikipiki kama vitendeakazi
- Shamrashamra za kampeni za mgombea urais CCM Buza
- Muunganiko wa asasi za kiraia zawashauri wanawake kupiga lura Oktoba 29,2025
- TCCIA kuendelea kutambua fursa za masoko kimataifa
- TRC yafanya uchunguzi wa kina ajali ya treni ya mwendokasi Ruvu
- Samia: NHC imejipanga kujenga makazi bora ya wananchi
- Mgombea udiwani ACT Wazalendo aahidi kuisuka upya Mabale, Misenyi kimaendeleo
Copyright 2024