Category: Makala
UN na jitihada za kuisaidia Tanzania
Tanzania ni nchi tajiri kwa rasilimali, na licha ya pato lake kukua mwaka hadi mwaka, wananchi wake ni maskini.
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Habari mpya
- Rais Mwinyi ateua ma – RC na Naibu Makatibu Wakuu
- Wanafunzi 40 wateuliwa kuwa mabalozi wa utalii
- Mdemu awataka wanufaika wa mikopo wa WDF kurejesha kwa wakati
- Kwa heri John Sabi Nzuryo, Jamhuri Media itakukumbuka
- Kurasa za Gazeti la Jamhuri Desemba 16 -22, 2025
- Makamu wa Rais awasili Ruvuma kushiriki mazishi ya Jenista Mhagama
- Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za binadamu Z’bar
- Wakazi wa ndani wa taasisi za umma wapata mafunzo ya ukaguzi wa ESG
- Soma Gazeti la Jamhuri Desemba 16 – 22, 2025
- Mamia ya wanachama ACT Wazalendo wampokea Othman Masoud Pemba
- RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu
- RC Dodoma awahimiza wahitimu kujiajiri kupitia ujuzi waliopata
- Makamu wa Rais amuaga Jenista Mhagama
- Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000
- Rais Samia: Marehemu Jenista Mhagama alikuwa mlezi wa viongozi wengi
Copyright 2024