Category: Makala
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
Habari mpya
- John Mabagala azungumzia mchakato wa TCB usafirishaji Soko la Kahawa nchini
- Prof. Shemdoe awataka ma- RC kusimamia halmashauri ziwe na mipango madhubuti
- Nyamka : Wazee na waasisi ni nguzo muhimu CCM
- Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA
- Pwani yajipanga kupokea mwenge wa Uhuru Aprili 18
- Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27
- EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga
- Wazi Mkuu: Dk Samia ameandika historia isiyofutika
- Serikali yapokea hoja ya Dk Jafo ya ajira za ‘Part -Time’ kwa vijana
- Serikali yajipanga kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe nchini – Prof. Shemdoe
- JOWUTA yashiriki kikao Mei Mosi, yataka ushirikishwaji zaidi wanahabari
- Wizara ya Mambo ya Nje kuandaa utaratibu wa kuvuna maarifa ya mabalozi wastaafu
- Vijana, wanawake wahamasishwa kurasimisha biashara
- Mpango wa Mkoa wa afya moja waandaliwa Tanga
- Wizara ya Fedha kuendelea kuimarisha sekta ya fedha
Copyright 2025