Category: Makala
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
- Makonda ; CRDB Zongo Mchongo waja na fursa kemkem
- Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino
- Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
- Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
- TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
Habari mpya
- Makonda ; CRDB Zongo Mchongo waja na fursa kemkem
- Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino
- Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
- Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
- TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
- Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
- Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano Maalum wa AU kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
- Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani
- Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia
- Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
- Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi
- Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
- Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050
- Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
Copyright 2025