Category: Makala
Wasudan waukataa utawala wa kijeshi
Na Nizar K Visram Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliandamana kote nchini mwao wakimkataa Rais Omar Hassan Ahmad al-Bashir aliyetawala kwa muda wa miaka 30. Polisi walitumia silaha na raia wengi waliuawa. Mwishowe jeshi likalazimika kumuondoa Bashir na kumweka chini…
Tufikiri upya kukabili ajali za barabarani
KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Ajali za barabarani bado ni tatizo la muda mrefu, limegharimu maisha ya Watanzania wengi. Hali hiyo imesababisha kuwa na Wiki ya Usalama Barabarani, wadau wanakutana na kujadili namna ya kupunguza ama kuziondoa kabisa. Kila mwaka Tanzania…
Bila mazungumzo ya amani Ethiopia inaelekea kubaya
Na Nizar K. Visram Ethiopia ni moja ya nchi kubwa katika Bara la Afrika, ikiwa na wakaazi takriban milioni 115 na makabila zaidi ya 80. Aprili 2018, Abiy Ahmed, aliapishwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo na mwaka uliofuata akatunukiwa…
Lipi kosa la huyu Mchina?
Tatizo letu wabongo (Watanzania) wengi tunadhani mvua inatoka juu mbinguni mawinguni kwa Mungu…hatujiulizi kwanini mvua hainyeshi jangwani au huko hakuna anga au Mungu hayupo? Maneno haya yaliwekwa na mwenzetu kwenye kundi letu la WhatsApp. Niliyapenda kwa sababu yanatafakarisha. Ni mafupi, mepesi…
Sauli, New Force wanachezea sharubu za Sirro
Dar es Salaam Na Joe Beda Rupia Simba ni mmoja wa wanyama wakali sana. Si sahihi hata kidogo na ni hatari sana kumchezea au kumfanyia masihara mnyama huyu mla nyama. ‘Kuchezea sharubu za simba’ ni hatari. Au tuseme haiwezekani kabisa!…
Deni la taifa, mgawo wa maji, umeme
Na Deodatus Balile, Bukoba Mwezi mmoja uliopita niliandika makala iliyoamsha hisia katika viunga vingi vya nchi hii. Nilizungumzia ukuaji wa deni la taifa. Nilitumia takwimu za Benki Kuu kukokotoa ukuaji wa deni na kuonyesha kuwa limefikia Sh trilioni 78 sasa. …





