Category: Makala
Tume Huru ya Uchaguzi nchini (2)
Narudia kutamka kuwa tangu Watanzania tuwe huru mwaka 1961 (Tanganyika) na mwaka 1964 (Zanzibar) tumefanya uchaguzi kitaifa kila baada ya miaka mitano na kuwapata viongozi bora katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani. Chombo kilichofanya uratibu, usimamizi na uendeshaji wa uchaguzi…
Yah: Usiku wa deni haukawii kucha, corona jamani!
Nimewahi kudaiwa sana katika maisha yangu, na mara nyingi tamati ya usiku wa deni huwa kama saa inajikimbiza yenyewe. Hapo ndipo ninapokumbuka madeni mengi ambayo yamewahi kuniumiza sana kichwa, hasa yale ambayo nilikopa kwa ajili ya matumizi ambayo si ya…
Mafanikio katika akili yangu (22)
Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Si nilikwambia mama, Noel watu mpaka sasa wanamkumbuka, nimetoka kuongea na mkurugenzi wa redio anamuulizia.’’ Mama yake akasimama na kuanza kumsikiliza Zawadi. “Heee! Si alimfukuza?’’ alishangaa Mama Noel. Tumaini lilikuwa limemjia mama yake…
Anza wewe kuwa jinsi unavyotaka mtoto wako awe
Hebu leo tubadilishe upepo kidogo kwa kutafuta majibu ya kwa nini watu waovu wanaongezeka licha ya wingi wa makanisa, misikiti hata magareza? Kwa nini matukio ya uovu wa binadamu yanazidi licha ya juhudi kubwa zifanywazo na ulimwengu kudhibiti matukio hayo?…
Tukio hili tunalitafsirije? (2)
Mifano hai ya waliopata ‘rustication’ ni kama hivi (sitawataja majina humu), mmoja alikuwa ni chifu kutoka Usukumani kule Shinyanga. Chifu huyu alitimuliwa Shinyanga akapelekwa kuishi Tunduru, mahali ambako alikuwa hajawahi kufika wakati ule wa ukoloni. Mwingine alikuwa wakili, Mhindi wa…
Umakini wa JAMHURI unapovuka mipaka ya nchi
Si jambo la kupendeza sana kwa mtu kujisifia au kuonekana unafagilia upande uliopo wewe, lakini pia sidhani kama ni kosa la jinai ukiamua kuonyesha yaliyo mema kwa upande wako. Ndiyo maana hata mimi ninaamua kuonyesha umakini wa Gazeti la JAMHURI…